Wewe ulianzia kula wapi ukiwa mdogoUtoto na ujinga ujinga mwingi. Inaonekana anakula kwao mpaka atoe kwanza shikamoo.
Hata wewe ukirudi mavumbini utakua decay ambayo.ni sawa na takataka.takataka
Hata kabinti ka Global Publishers huwa nako hakana heshima kwa baba watu wazimaHivi ni kweli akina Shaffi Dauda na watangazaji wenziwe hawawezi kumpa KHESHIMA yake Alhadji ISMAIL ADEN RAGE japo ya kumpa salaam inayomstahili ya SHIKAMOO Ati. Habari gani Ragge hebu tuambie sheria inasemaje. Mchezo ukivunjika. Pasipo hata kumpa salaa kama kaka yao au baba
Inasikitisha sana
Mbona Shafih alimsalimia sema hakusikia
Salamu ni kujuliana hali tu .I will not comment on the matter kwa sababu sikuona hicho kipindi, lakini based on the subject, hii tabia nimeshaiona kwa watangazaji kadhaa wa tv station nyingine, mfano yuko bwana mdogo Star tv anatangaza kipindi cha kipaza sauti aliwakuta wazee wamekaa sehemu akaanza kuwauliza maswali bila hata kuwapa salamu inavyotakiwa, nikajisemea ingekuwa mimi ningemtimua, pia yuko bwana mdogo mwingine wa Azam kama sijakosea anaitwa Ahmed Abdala huwa anatangaza kipindi cha michezo cha mshike mshike kila anapoanza kutanganza salamu yake ni "hujambo" , binafsi huwa inanikera sana huwa najiuliza huyu mtoto anadhani audience yake yote ni watoto kama yeye, hata kama ni ujana ila nidhamu na heshima kwa waliokuzidi haitakiwi kuondoka haijalishi mazingira au status uliyonayo.
Wabongo bhanaa,sasa wewe hiyo "kheshima" ya shikamoo ndo unai husudu sana eeenh!!Hivi ni kweli akina Shaffi Dauda na watangazaji wenziwe hawawezi kumpa KHESHIMA yake Alhadji ISMAIL ADEN RAGE japo ya kumpa salaam inayomstahili ya SHIKAMOO Ati. Habari gani Ragge hebu tuambie sheria inasemaje. Mchezo ukivunjika. Pasipo hata kumpa salaa kama kaka yao au baba
Inasikitisha sana
Hivi ni kweli akina Shaffi Dauda na watangazaji wenziwe hawawezi kumpa KHESHIMA yake Alhadji ISMAIL ADEN RAGE japo ya kumpa salaam inayomstahili ya SHIKAMOO Ati. Habari gani Ragge hebu tuambie sheria inasemaje. Mchezo ukivunjika. Pasipo hata kumpa salaa kama kaka yao au baba
Inasikitisha sana