Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,306
Hivi ni kwamba waliopewa dhamana ya kuongoza taasisi kubwa kama nida wameishiwa maarifa kabisa? Ukifika NIDA Ukonga pale hutoamini kama hizi ni zama za sayansi na tekinolojia.
Foleni ni ndefu na watendaji ni wachache mtu unapoteza siku nzima na huduma hupati.
La kushangaza hakuna hatua zinazochukuliwa wakati watu wanaumia.
Labda Rais Magufuli ukifanya ziara pale Ukonga Gerezani upite na NIDA Ukonga pale labda ukitoa maagizo wewe mambo yatabadilika sababu hali siyo nzuri kwa kweli na muda unakwenda!!
Foleni ni ndefu na watendaji ni wachache mtu unapoteza siku nzima na huduma hupati.
La kushangaza hakuna hatua zinazochukuliwa wakati watu wanaumia.
Labda Rais Magufuli ukifanya ziara pale Ukonga Gerezani upite na NIDA Ukonga pale labda ukitoa maagizo wewe mambo yatabadilika sababu hali siyo nzuri kwa kweli na muda unakwenda!!