Umemalizaa...Uelekeo wa usomi wake ni uprofesa wa lipumba,kashindwa kujitambua anatumika fiesta kwa malipo finyu,msomi hewa huyu jamaa
dj wa billcanas?We jamaa umenichekesha sana. Umefanya hiyo comment yako niipeleke kwenye picha yan kama nakuona unaongea vile!
mkuu kwani kaongea uongo...m naona kuna kaukweli...Uelekeo wa usomi wake ni uprofesa wa lipumba,kashindwa kujitambua anatumika fiesta kwa malipo finyu,msomi hewa huyu jamaa
Mrema? Cheyo? Devutwa? au hawa ni wenyeviti wadogo wa chama tawala?Tafsiri nyepesi:
*Chama kinachotawala miaka yote (CCM)
*Anaechukia chama minachotawala miaka yote (UPINZANI)
*Mwenyekiti yule yule miaka yote (Mh MBOWE/ Prof LIPUMBA)