Nick wa pili karusha dongo kwenye chama fulani

Nick wa pili karusha dongo kwenye chama fulani

Mr Hero

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2015
Posts
5,540
Reaction score
7,464
"Kama chama flani Mwenyekiti yule yule miaka yote, sijui kwanini anachukia chama flani pia kutawala miaka yote..Demokrasia huanza na wewe". Nick wa Pili

Source east africa radio

NB: Mimi binafsi sijaelewa chama alichomaanisha
 
Uelekeo wa usomi wake ni uprofesa wa lipumba,kashindwa kujitambua anatumika fiesta kwa malipo finyu,msomi hewa huyu jamaa

mkuu hebu nieleweshe na mimi amemaanisha mwenyekiti gani kwani?
 
Halafu hao hao wenye mwenyekiti wa kudumu ndiyo wanajishedua humu kumponda yule anayeiga nyendo za mwenyekiti wao.

Uhuni unaofanyika Kafu hauna tofauti na uhuni uliofanyika Sidiemu tena heri ya Lipumba hajaigusa katiba,Sultan aliinajisi katiba kwa kubadili vipengele kinyemela.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] think big
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa nimeelewa kamaanisha Chama gani
 
Kwani Mwenyekiti na chama vina usawa gani?Hadi amfananishe Mwenyekiti na chama...
 
Back
Top Bottom