Kama uyo mwenyekiti amechaguliwa kwa kura halali za wajumbe wa mkutano mkuu apo hamna tatizo"Kama chama flani Mwenyekiti yule yule miaka yote, sijui kwanini anachukia chama flani pia kutawala miaka yote..Demokrasia huanza na wewe". Nick wa Pili
Source east africa radio
NB: Mimi binafsi sijaelewa chama alichomaanisha
Kundi lao linakula milion tatukwan analipwa shilling ngapi kwa show moja ya fiesta??
sio DJ mkuu!!!Kamsema propesa lipumba
Dogo mmoja mkata mauno stejini....anajifanya real wakat ni fake.....Niki wa Pili ndio nani?
Jokes aside,kuna demokrasia CDM ?Uelekeo wa usomi wake ni uprofesa wa lipumba,kashindwa kujitambua anatumika fiesta kwa malipo finyu,msomi hewa huyu jamaa
Dogo mmoja mkata mauno stejini....anajifanya real wakat ni fake.....
OVA
Kumbe mkata mauno? Acha aendelee tu. Hiyo business labda inamlipa baada ya kukataa kaziDogo mmoja mkata mauno stejini....anajifanya real wakat ni fake.....
OVA