mbogamboga
Member
- Sep 24, 2016
- 11
- 16
Ngoja c.c.m waendelee kutawalaKwani chadema katiba yenu mwenyekiti hanaga ukomo kama hawa tawala wanavyofanyaga? Msifumbe macho wakati wa kusoma.
Angalau wao kuliko hao wengine
Story zao nyingi feki.
Ngoja c.c.m waendelee kutawalaKwani chadema katiba yenu mwenyekiti hanaga ukomo kama hawa tawala wanavyofanyaga? Msifumbe macho wakati wa kusoma.
Dogo anajiona msomi na wakimpa promo ndio anazidi kuwa na ujuaji mwingi, kusoma na kuelewa mambo ni vitu viwili tofauti yaani ameshindwa kujiondoa kwenye minyororo ya unyonyajiUelekeo wa usomi wake ni uprofesa wa lipumba,kashindwa kujitambua anatumika fiesta kwa malipo finyu,msomi hewa huyu jamaa
SiwakubaliAtakuwa anamsema boss wake Ruge
Hivi umawezaje kujua kila anayepinga ni chadema?Mbona Chadema mmekuwa wakali kama pilipili au Mbowe ni mwenyekiti wa kudumu?
Naangalia koment zenu katika mada mbalimbali.Hivi umawezaje kujua kila anayepinga ni chadema?
Kamaanisha mwenyekiti CHADEMA FREEMAN AIKAEL MBOWE.mkuu hebu nieleweshe na mimi amemaanisha mwenyekiti gani kwani?
We kweli nyumbu. Chadema walau imebadili mwenyekiti mara moja. Cheki udp huko na cuf katibu mkuu. Yote tisa. CCMScrow eala hakuna uchaguzi wa mkitiKamaanisha mwenyekiti CHADEMA FREEMAN AIKAEL MBOWE.
"Kama chama flani Mwenyekiti yule yule miaka yote, sijui kwanini anachukia chama flani pia kutawala miaka yote..Demokrasia huanza na wewe". Nick wa Pili
Source east africa radio
NB: Mimi binafsi sijaelewa chama alichomaanisha
Ushuhuda huu wa upumbavu wa bavicha, hela ya escrow inaingiaje?? Unashindwa hata kwenda na flow!! Si ajabu kesho mnaenda badilishiwa tena gia angani na kamanda wenu. Udp angalau wana msimamo, hapa hatupepesi macho wala kumung'unya maneno, aliyesemwa hapa ni FREEMAN AIKAEL MBOWE, mwenyekiti wa chadema ambaye yeyote anayeonyesha dalili za kumchallange anawachezea akili bavicha mumuite huyo mtu msaliti.We kweli nyumbu. Chadema walau imebadili mwenyekiti mara moja. Cheki udp huko na cuf katibu mkuu. Yote tisa. CCMScrow eala hakuna uchaguzi wa mkiti
Huyo niki wa pili ndio nani hasa katika nchi hii?"Kama chama flani Mwenyekiti yule yule miaka yote, sijui kwanini anachukia chama flani pia kutawala miaka yote..Demokrasia huanza na wewe". Nick wa Pili
Source east africa radio
NB: Mimi binafsi sijaelewa chama alichomaanisha
jamaa mmoja anajiita sweetHuyo niki wa pili ndio nani hasa katika nchi hii?
Some nonenties ain't worth this public attention.
Alafu bado anakwambia yeye ni good eptome wa hip hop artist na mashairi yake yako kisomi..!!jamaa mmoja anajiita sweet
