ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,628
- 4,972
Wadau msaada tutani wadu.
Nataka ninunue kagari kadogoo ambako hakatonisumbua sana kwenye running cost.
Naomba kujua kati ya vigari tajwa hapo juu. Ni kipi ambako kinafaa zaidi katika term hizi
1.Uimara
2.Utumiaji mzuri wa mafuta
3.Urahisi wa spea
4.Car handling/Utumiaji barabarani yaani speeding haswa kwa ruti ndefu za mikoani.
Naomba kuwasilisha wadau
Nataka ninunue kagari kadogoo ambako hakatonisumbua sana kwenye running cost.
Naomba kujua kati ya vigari tajwa hapo juu. Ni kipi ambako kinafaa zaidi katika term hizi
1.Uimara
2.Utumiaji mzuri wa mafuta
3.Urahisi wa spea
4.Car handling/Utumiaji barabarani yaani speeding haswa kwa ruti ndefu za mikoani.
Naomba kuwasilisha wadau