Nichague Perfume ipi kati ya hizi?

Dubai Duty free nimepulizia adi kwenye nguo zangu kwenye bag nimewambia nina fika kwanza macedonia nilirudi ndio nitanunuwa!
DUBAI duty free wana manukato ya kila aina.

Mpaka vile vichupa vidogo wanavyo.

Unanikumbusha kuna safari moja nilikaa sana karibia masaa sita pale.

Mpaka nikaamua kufanya mazoezi ya kutembea natoka Terminal 3 mpaka 1 kule kwenye MSIKITI, kisha narudi tena hivyo hivyo
 
51351C8B-AD45-4C63-BE4A-AB0AE62C6FD9-1925-0000007270BE4B08.jpg


Ipate hii kwa

Tshs 260,000 tu.

Popote ulipo unaipata,
Hata mkoani.

Njoo inbox.
 
Kuna mdau amenipa hii list nichague moja tu ili aniletee. Sasa sijui ipi ni.nzuri kushinda nyingine naombeni msaada wenu, ipi nichague ambayo ni nzuri miongoni mwa hizi
Invictus
Creed aventus
Sauvage
Tom Ford black orchid

Asanteni sana kwa ushirikiano wenu
Creed is superb👌
 
Kuna mdau amenipa hii list nichague moja tu ili aniletee. Sasa sijui ipi ni.nzuri kushinda nyingine naombeni msaada wenu, ipi nichague ambayo ni nzuri miongoni mwa hizi
Invictus
Creed aventus
Sauvage
Tom Ford black orchid

Asanteni sana kwa ushirikiano wenu
Mkuu unaenda mbali kujichosha na mabei makubwa.
Tafuta al rihat perfumes bei za kawaida kwanzia 7k mpk 30k to 50k.
Unapulizia perfume inakaa ktk nguo hata ufue haitoki.
Yani ni "houd perfumes".
Ukipulizia hapa mkuranga wanaisikia ni hatari.
Yani ukipulizia watu waweza sema jini mahaba limepita .
Kuna kampuni zingine nyingi za perfume za kiarabu ila mkuu Alrihat wanaendana na hali ya watu wote chini na juu.
Kaka hizi perfume dem akihisi harufu yake anatamani akulambe aiseee.
Na kuna huod soaps hizo unapaka km sabuni na zina muundo km sabun yan ukimaliza kuoga unapakaa ktk ngozi na nguo.
Bro watu watatamani kukukula unakua unanukia utam utam.
Halafu uzuri wa perfume hizi za kiarabu ni non alcoholic halafu zimetengenezwa sana na vitu natural yani ni chemicalless .
Hiyo inakata kikwapa milele.
 

Attachments

  • perfumes-in-the-uae.jpeg
    perfumes-in-the-uae.jpeg
    14.5 KB · Views: 36
  • images.jpeg
    images.jpeg
    2.7 KB · Views: 34
  • raw-spirit-perfume-house-and-leisure.jpeg
    raw-spirit-perfume-house-and-leisure.jpeg
    58.7 KB · Views: 33
  • sabaya-600x800-0.jpeg
    sabaya-600x800-0.jpeg
    30.3 KB · Views: 32
  • Al-Rehab-Aseel-For-Women-35ml-Eau-de-Parfum_32994670_2511df156f05bda2313eff4a188d3166_t.jpeg
    Al-Rehab-Aseel-For-Women-35ml-Eau-de-Parfum_32994670_2511df156f05bda2313eff4a188d3166_t.jpeg
    6.4 KB · Views: 33
  • 20181119_123052_540x.jpeg
    20181119_123052_540x.jpeg
    17.5 KB · Views: 32
Mkuu unaenda mbali kujichosha na mabei makubwa.
Tafuta al rihat perfumes bei za kawaida kwanzia 7k mpk 30k to 50k.
Unapulizia perfume inakaa ktk nguo hata ufue haitoki.
Yani ni "houd perfumes".
Ukipulizia hapa mkuranga wanaisikia ni hatari.
Yani ukipulizia watu waweza sema jini mahaba limepita .
Kuna kampuni zingine nyingi za perfume za kiarabu ila mkuu Alrihat wanaendana na hali ya watu wote chini na juu.
Kaka hizi perfume dem akihisi harufu yake anatamani akulambe aiseee.
Na kuna huod soaps hizo unapaka km sabuni na zina muundo km sabun yan ukimaliza kuoga unapakaa ktk ngozi na nguo.
Bro watu watatamani kukukula unakua unanukia utam utam.
Halafu uzuri wa perfume hizi za kiarabu ni non alcoholic halafu zimetengenezwa sana na vitu natural yani ni chemicalless .
Hiyo inakata kikwapa milele.
Jaribu hizi mkuu kuanzia 7000/= mpk 50000/= ikizidi sana 70000/=
sabaya-600x800-0.jpeg
View attachment 1212780
34900_n0wsy7_oudy_480.jpeg
20181119_123052_540x.jpeg
 

Attachments

  • perfume-bottles-on-pink-background-260nw-666006625.jpeg
    perfume-bottles-on-pink-background-260nw-666006625.jpeg
    6.1 KB · Views: 32
jamani hayo mapafyumu ni bei nimeenda kucheki bei ya tom ford pale S.H AMON MCITY tsh 500,000/= nkalala mbele
SH Amon walanguzi sana sana.hata kwa vitu vidogo..ni wa kwenda jela,
Jaribu kwa norahprocter..mi huwa nachukua pale ,vitu high quality from UK na bei reasonable

ama Buy abroad/tuma Mtu etc
 
Tengeneza natural deodorant yako. Chukua lavender-essential oil unachanganya na virgin coconut oil kama carrier oil.
Kisha paka kwenye kwapa na mwili na kichwani. Achana na hizo kemikali mkuu
Nimetafuta baadhi ya Essentials oil nimekosa naomba msaada kwa Dar naweza kupata wapi?
 
Kwanza ningeenda na
Creed aventus halafu Invictus
Hizo nyengine sijui mpango wake.
Ukiweka cologne ya Creed aventus au Angel ina chapa ya star. Mziki wake si wa kitoto bei zake tu kuazia Tzs 450,000.

Ndukiiiii ‍♂️‍♂️‍♂️

mi nauza mini crystal zake kwa bei ya maandazi tu na unanukia fresh


Sent using Jamii Forums mobile app
 
SH Amon walanguzi sana sana.hata kwa vitu vidogo..ni wa kwenda jela,
Jaribu kwa norahprocter..mi huwa nachukua pale ,vitu high quality from UK na bei reasonable

ama Buy abroad/tuma Mtu etc
Wana page insta?
 
Back
Top Bottom