Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,868
- 6,480
jitahidini mnapotaja aina za perfume, ni vyema kama mka ainisha na bei husika ya perfume hiyo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijajua bei yake halisiNi kweli bei ni laki ?
DUBAI duty free wana manukato ya kila aina.Dubai Duty free nimepulizia adi kwenye nguo zangu kwenye bag nimewambia nina fika kwanza macedonia nilirudi ndio nitanunuwa!
Creed is superb👌Kuna mdau amenipa hii list nichague moja tu ili aniletee. Sasa sijui ipi ni.nzuri kushinda nyingine naombeni msaada wenu, ipi nichague ambayo ni nzuri miongoni mwa hizi
Invictus
Creed aventus
Sauvage
Tom Ford black orchid
Asanteni sana kwa ushirikiano wenu
jamani hayo mapafyumu ni bei nimeenda kucheki bei ya tom ford pale S.H AMON MCITY tsh 500,000/= nkalala mbele
Kuna jamaa hapa JF alishawahi kuniuzia perfume fake! Fake people are all around. Beware!!!Sauvage feki hii unaibia watu, bei za sauvage ni universal
Mkuu unaenda mbali kujichosha na mabei makubwa.Kuna mdau amenipa hii list nichague moja tu ili aniletee. Sasa sijui ipi ni.nzuri kushinda nyingine naombeni msaada wenu, ipi nichague ambayo ni nzuri miongoni mwa hizi
Invictus
Creed aventus
Sauvage
Tom Ford black orchid
Asanteni sana kwa ushirikiano wenu
Jaribu hizi mkuu kuanzia 7000/= mpk 50000/= ikizidi sana 70000/=Mkuu unaenda mbali kujichosha na mabei makubwa.
Tafuta al rihat perfumes bei za kawaida kwanzia 7k mpk 30k to 50k.
Unapulizia perfume inakaa ktk nguo hata ufue haitoki.
Yani ni "houd perfumes".
Ukipulizia hapa mkuranga wanaisikia ni hatari.
Yani ukipulizia watu waweza sema jini mahaba limepita .
Kuna kampuni zingine nyingi za perfume za kiarabu ila mkuu Alrihat wanaendana na hali ya watu wote chini na juu.
Kaka hizi perfume dem akihisi harufu yake anatamani akulambe aiseee.
Na kuna huod soaps hizo unapaka km sabuni na zina muundo km sabun yan ukimaliza kuoga unapakaa ktk ngozi na nguo.
Bro watu watatamani kukukula unakua unanukia utam utam.
Halafu uzuri wa perfume hizi za kiarabu ni non alcoholic halafu zimetengenezwa sana na vitu natural yani ni chemicalless .
Hiyo inakata kikwapa milele.
Tomy Ford shilingi ngapi
Kati ya hizo creed siijui harufu take!!!
ila Kwa hizo zingine TOM FORD is the best....... Napenda sana mkaka awe ananukia hivyo
SH Amon walanguzi sana sana.hata kwa vitu vidogo..ni wa kwenda jela,jamani hayo mapafyumu ni bei nimeenda kucheki bei ya tom ford pale S.H AMON MCITY tsh 500,000/= nkalala mbele
Nimetafuta baadhi ya Essentials oil nimekosa naomba msaada kwa Dar naweza kupata wapi?Tengeneza natural deodorant yako. Chukua lavender-essential oil unachanganya na virgin coconut oil kama carrier oil.
Kisha paka kwenye kwapa na mwili na kichwani. Achana na hizo kemikali mkuu
Wazo zurijitahidini mnapotaja aina za perfume, ni vyema kama mka ainisha na bei husika ya perfume hiyo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Inarange Shilling ngapi hii mkuu..?
Kuchagua perfume au deodorant ni sawa na kumwambia mtu akuchagulie mwanamke unayempenda.
Kwanza ningeenda na
Creed aventus halafu Invictus
Hizo nyengine sijui mpango wake.
Ukiweka cologne ya Creed aventus au Angel ina chapa ya star. Mziki wake si wa kitoto bei zake tu kuazia Tzs 450,000.
Ndukiiiii ♂️♂️♂️
Wana page insta?SH Amon walanguzi sana sana.hata kwa vitu vidogo..ni wa kwenda jela,
Jaribu kwa norahprocter..mi huwa nachukua pale ,vitu high quality from UK na bei reasonable
ama Buy abroad/tuma Mtu etc