Kati ya hizo creed siijui harufu take!!!
ila Kwa hizo zingine TOM FORD is the best....... Napenda sana mkaka awe ananukia hivyo
Kwanza ningeenda naKuna mdau amenipa hii list nichague moja tu ili aniletee. Sasa sijui ipi ni.nzuri kushinda nyingine naombeni msaada wenu, ipi nichague ambayo ni nzuri miongoni mwa hizi
Invictus
Creed aventus
Sauvage
Tom Ford black orchid
Asanteni sana kwa ushirikiano wenu
Dubai Duty free nimepulizia adi kwenye nguo zangu kwenye bag nimewambia nina fika kwanza macedonia nilirudi ndio nitanunuwa!Creed is another thing,kwwnza bei yake ni mkasi na kama ipo dukani nadhani hawawezi hata kukupa ujaribu.Tom Ford zipo nyingi sana,Tom Ford London,TF-Tuscan Leather,TF-London ila hii TF-Black Orchid iko marketed kama perfume ya kike na hata harufu yake iko feminine japo kuna wanaume wanaipaka
Kuna mdau amenipa hii list nichague moja tu ili aniletee. Sasa sijui ipi ni.nzuri kushinda nyingine naombeni msaada wenu, ipi nichague ambayo ni nzuri miongoni mwa hizi
Invictus
Creed aventus
Sauvage
Tom Ford black orchid
Asanteni sana kwa ushirikiano wenu
Dubai Duty free nimepulizia adi kwenye nguo zangu kwenye bag nimewambia nina fika kwanza macedonia nilirudi ndio nitanunuwa!
Kama unapitaga pande hizo usione aibu kuwa kama wazungu ongea kama vile bado hujazikubali adi ukajiridhishe pia usiache kumwambia mke wako amekuambia kuhusu hii kitu ni nzuri sana ila hutaki kuacha unayotumia adi upate uhakika!umetisha mzee baba
Hii hawezi kuletewacreed aventus,kama ukifanikiwa kuletewa hiyo utatupa mrejesho hapa.View attachment 967306
Kama unapitaga pande hizo usione aibu kuwa kama wazungu ongea kama vile bado hujazikubali adi ukajiridhishe pia usiache kumwambia mke wako amekuambia kuhusu hii kitu ni nzuri sana ila hutaki kuacha unayotumia adi upate uhakika!
Wana wekaga moja kwa ajili ya watu kama sisi ondoa hofu tu usiangaliye nyingine lenga moja na ukisha puliza kila mahali usigeuge endelea sehemu nyingine! Mwambie kweli imeanza kuni tamanisha ila ngoja nirudi nita kuwa na jibu la ukweli! Ila usikubali ata siku moja wakupulizie kwenye mkono au vikaratasi! Wambie nimejipulizia ya ghali sana!
Matayarisho ya kuhesabiwa?Kuna mdau amenipa hii list nichague moja tu ili aniletee. Sasa sijui ipi ni.nzuri kushinda nyingine naombeni msaada wenu, ipi nichague ambayo ni nzuri miongoni mwa hizi
Invictus
Creed aventus
Sauvage
Tom Ford black orchid
Asanteni sana kwa ushirikiano wenu
kuna watu tuna penda kuhakiki mkuu tukirudi ndio tuna malizana nao!! Unakuja apo kama nafsi imesema ndio una mwambia nipe 2zangu na 2 za wife,Shida yote ya nini hiyo,kama kitu umetest na umeona ni kizuri kunjua wallet ununue.unachokisema ni kama kutaka kulewa kwa pombe za kutest pale Ataturk airport
Inaitwa DolbyKuna moja ineitwa chris Adams jamaa kaniambia dar inauzwa laki je ni kweli ?
Ni kweli bei ni laki ?
Inarange Shilling ngapi hii mkuu..?creed aventus,kama ukifanikiwa kuletewa hiyo utatupa mrejesho hapa.View attachment 967306
Hii tom ford mbn harufu yake kama ya ajabu hivi. Mi sijaipendaga
Inarange Shilling ngapi hii mkuu..?
Halafu eti unaikuta Kariakoo Tshs 5,000/=dubai duty free bei ni hiyo kama laki 6 na nusu kwa hela yetu.mlimani city pale kuna duka wanauza milioni moja kamili
Wewe mkali mkuu majibu ya kuchagua unapendekeza ya kwako badala ya kuchagua yaliyomo