Nichague Perfume ipi kati ya hizi?

Kati ya hizo creed siijui harufu take!!!
ila Kwa hizo zingine TOM FORD is the best....... Napenda sana mkaka awe ananukia hivyo

Mkuu naomba unfahamishe imesimama bei gani, niyatumie maana nakereka sana hapa nyumbani nikinunua mafuta mapya na perfume mpya na wengine nao wananunua hayo hayo yaan ni mwendo wa kuniiga,
 
Kuna mdau amenipa hii list nichague moja tu ili aniletee. Sasa sijui ipi ni.nzuri kushinda nyingine naombeni msaada wenu, ipi nichague ambayo ni nzuri miongoni mwa hizi
Invictus
Creed aventus
Sauvage
Tom Ford black orchid

Asanteni sana kwa ushirikiano wenu
Kwanza ningeenda na
Creed aventus halafu Invictus
Hizo nyengine sijui mpango wake.
Ukiweka cologne ya Creed aventus au Angel ina chapa ya star. Mziki wake si wa kitoto bei zake tu kuazia Tzs 450,000.

Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Creed is another thing,kwwnza bei yake ni mkasi na kama ipo dukani nadhani hawawezi hata kukupa ujaribu.Tom Ford zipo nyingi sana,Tom Ford London,TF-Tuscan Leather,TF-London ila hii TF-Black Orchid iko marketed kama perfume ya kike na hata harufu yake iko feminine japo kuna wanaume wanaipaka
Dubai Duty free nimepulizia adi kwenye nguo zangu kwenye bag nimewambia nina fika kwanza macedonia nilirudi ndio nitanunuwa!
 
Kuna mdau amenipa hii list nichague moja tu ili aniletee. Sasa sijui ipi ni.nzuri kushinda nyingine naombeni msaada wenu, ipi nichague ambayo ni nzuri miongoni mwa hizi
Invictus
Creed aventus
Sauvage
Tom Ford black orchid

Asanteni sana kwa ushirikiano wenu

Ziko Tomford nyingi lakini kuna tatu kali, Ombre, hiyo ya black orchid na Noir.

Tomford Ombre Leather ni nzuri kwani waweza kutumia wakati wowote ule

Black orchid na Noir ni za mtoko mida ya jioni.

Hivyo kwa matumizi ya kila siku, nenda na Tomford Ombre Leather.

NB: Wapuliza pigo moja la nguvu sehemu upendayo halafu unatulia kisha waongeza dozi ingine na waacha itulie kwenye ngozi.

Usifikinye au kusugua unakuwa unaharibu mpenyo wake wenye ngozi.
 
umetisha mzee baba
Kama unapitaga pande hizo usione aibu kuwa kama wazungu ongea kama vile bado hujazikubali adi ukajiridhishe pia usiache kumwambia mke wako amekuambia kuhusu hii kitu ni nzuri sana ila hutaki kuacha unayotumia adi upate uhakika!
Wana wekaga moja kwa ajili ya watu kama sisi ondoa hofu tu usiangaliye nyingine lenga moja na ukisha puliza kila mahali usigeuge endelea sehemu nyingine! Mwambie kweli imeanza kuni tamanisha ila ngoja nirudi nita kuwa na jibu la ukweli! Ila usikubali ata siku moja wakupulizie kwenye mkono au vikaratasi! Wambie nimejipulizia ya ghali sana!
 
Kama unapitaga pande hizo usione aibu kuwa kama wazungu ongea kama vile bado hujazikubali adi ukajiridhishe pia usiache kumwambia mke wako amekuambia kuhusu hii kitu ni nzuri sana ila hutaki kuacha unayotumia adi upate uhakika!
Wana wekaga moja kwa ajili ya watu kama sisi ondoa hofu tu usiangaliye nyingine lenga moja na ukisha puliza kila mahali usigeuge endelea sehemu nyingine! Mwambie kweli imeanza kuni tamanisha ila ngoja nirudi nita kuwa na jibu la ukweli! Ila usikubali ata siku moja wakupulizie kwenye mkono au vikaratasi! Wambie nimejipulizia ya ghali sana!

Shida yote ya nini hiyo,kama kitu umetest na umeona ni kizuri kunjua wallet ununue.unachokisema ni kama kutaka kulewa kwa pombe za kutest pale Ataturk airport
 
Kuna mdau amenipa hii list nichague moja tu ili aniletee. Sasa sijui ipi ni.nzuri kushinda nyingine naombeni msaada wenu, ipi nichague ambayo ni nzuri miongoni mwa hizi
Invictus
Creed aventus
Sauvage
Tom Ford black orchid

Asanteni sana kwa ushirikiano wenu
Matayarisho ya kuhesabiwa?
 
Shida yote ya nini hiyo,kama kitu umetest na umeona ni kizuri kunjua wallet ununue.unachokisema ni kama kutaka kulewa kwa pombe za kutest pale Ataturk airport
kuna watu tuna penda kuhakiki mkuu tukirudi ndio tuna malizana nao!! Unakuja apo kama nafsi imesema ndio una mwambia nipe 2zangu na 2 za wife,
ni kasumba tu mkuu!
 
Inarange Shilling ngapi hii mkuu..?

353669f57f46bb9c7f37ef8ce28f6189.jpg
dubai duty free bei ni hiyo kama laki 6 na nusu kwa hela yetu.mlimani city pale kuna duka wanauza milioni moja kamili
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom