MwaikamboN
Member
- Sep 21, 2020
- 38
- 23
Kwa kuongezea hapo ni kwamba navyo jua mimi ni kwamba ukiwa unachangia kwa hiari utaendelea kufanya hivyo ili kuendelea kuweka akiba yako iweze kuja kukusaidia hapo baadaeNenda NSSF iliyokuwa inahudumia vikahakikiwe , kama viko timamu utasubiri miezi 3 kisha uanze kulipwa asilia 33 kila mwezi kwa miezi sita ...kisha utakaa miezi 18 ndio pesa yako ihamishiwe mfuko wa hiari ambako utaamua kuichukua ama kuiacha
NB. Cheti chako cha utumishi ndio kinaweza kukuokoa ama kukuangamiza kuchukua mafao yako ...kwakuwa kama kimeandikwa kazi yako haikuwa ya ujuzi utapata fungu lako lote hapohapo