IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,182
- 7,844
Mshana hii ni tofauti na ile barua unayo pewa kwamba mkataba wako umeisha na hatutaendelea na wewe?Unakipata ukimaliza mkataba
Mshana hii ni tofauti na ile barua unayo pewa kwamba mkataba wako umeisha na hatutaendelea na wewe?Unakipata ukimaliza mkataba
Hata pale mkataba unapoisha na hawana mpango wa kuendelea na wewe.Pesa inatoka ukiwa umefukuzwa pekee au hata kama mkataba umeisha??
Ndiyo unapata fao la kukosa ajira but after 6 months...Nauliza, kwa anaemaliza mkataba (asiefukuzwa) nae anaweza kupata stahiki ake ??? Mfano mashirika binafsi.
Unapeke hiyo nambaHapo Kwenye NIDA, vipi kama una namba tu, id bado?
Hata pale mkataba unapoisha na hawana mpango wa kuendelea na wewe.
Na je kama mtu hajapata kitambulisho cha NSSF inakuwaje?Cheti cha utumishi sio lazima, hapo kiondoe.
Vinavyohitajiwa kwa ulazima:-
Barua ya mwisho wa mkataba
Kitambulisho cha NSSF.
Picha tatu za rangi.
Bank Statement.
Pamoja Nakala ya kitambulisho cha mpigakura/NIDA.
hata ukimaliza mkataba pia unastahili kulipwa.Pesa inatoka ukiwa umefukuzwa pekee au hata kama mkataba umeisha??
Lakini namba ya uanachama unayo?Na je kama mtu hajapata kitambulisho cha NSSF inakuwaje?
ndio ninayoLakini namba ya uanachama unayo?
Hiyo haina shida nenda tu kwenye ofisi zao ukawaelezee wapo wengi wamelipwa na hawakuwa na ID isipokuwa walikuwa na namba.ndio ninayo
Hiyo haina shida nenda tu kwenye ofisi zao ukawaelezee wapo wengi wamelipwa na hawakuwa na ID isipokuwa walikuwa na namba.
nimeenda leo jibu nililopewa nimekata tamaa kabisa.
Yaani mimi nilifanya kazi kwenye mkoa tofauti na ninapoishi sasa hivi.
Wakasema kwamba siruhusiwi kusubmit fomu zangu mpaka niandike barua kwa meneja halafu niondoke na fomu zangu nyumbani nikasubiri wiki 3 barua ijibiwe halafu baada ya hapo ndipo nitaruhusiwa kusubmit hizo fomu zangu.
Sasa kila nikiufikiria huu mlolongo naona hovyo tu na ukizingatia sitakuwa na muda kuanzia wiki ijayo nitaenda maporini kutafuta,hata sijui itakuwaje maana nikiondoka sasa hivi kurudi ni mwakani
Yes kuna brother wangu amenipa mawazo kama yako.Mkuu labda nikufungue kitu hii pesa ya Nssf unatakiwa usiwe na haraka nayo kwani haitoki kirahisi rahisi,wewe fanya walivyokuambia achana nayo ukipata muda unakuja kuchungulia imefika wapi,kwa sababu unaweza pata dharura ya kuja town kutoka porini huko. Huwa haihitaji haraka kabisa