Micro E coli
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 938
- 192
Ccm mpaka tuwachubue ndio watatoka madarakani
"lazima wachaga tuchukue nji 2015"
tafadhali wajf nisaidieni,nimeshanunua tambara kubwa tayari kwa kuandika ujumbe na kuanza safari kwa mguu toka tabata kimanga kuelekea jangwani for m4c hapo kesho,sasa naomba unisaijie ujumbe gani nitupie hapo bangoni?,nawasilisha
Weeeeh! jaribu uone !
kula ccm,kulala chadema,kuoga tlp huduma nyinginezo cuf......!andika " zile millioni kumi ulizotoa kwenye msiba wa kanumba zinatuuma sana"
Andika "Movement 4 Chagaz"
mangi acha kuloga bana
Andika "Movement 4 Chagaz"