Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Shibuda pandikizi!
Si bure umelogwa wewe..Au yawezekana una mtindio wa ubongo.. watu kama nyie ndio mliotufikisha hapa maisha ya watanzania yanazidi kudidimia kwa kasi na wewe unachekelea. wewe ni sawa na wale wachawi wanaozuia mvua.."lazima wachaga tuchukue nji 2015"
Andika "Movement 4 Chagaz"
Leo nimepata kirefu cha 4MC!
Thanx for this useful post
Wewe mtoto wa kike usiye na haya hizo ndio sera za chama chenu kinachokufa za kuwagawa watanzania kwa dini na makabila yao ili wasiungane kuwaondoa madarakani? Andika mmeumia.. kwanza wewe una umri gani? Maana chama chenu ndio kinakufa na wazee wao.Andika "Movement 4 Chagaz"
Aaa na mie mpemba nipo nyuma yake piaAndika , NAIPENDA CCM, NITASEMA UKWELI DAIMA UONGO KWANGU MWIKO ! CCM NAMBARI WANI ! JK NDIO RAIS BORA KABISA TANZANIA, ZIDISHA MAPINDUZI YA KILIMO NASISI TUPO NYUMA YAKO !
Andika "Movement 4 Chagaz"
Tafadhali wajf nisaidieni,nimeshanunua tambara kubwa tayari kwa kuandika ujumbe na kuanza safari kwa mguu toka tabata kimanga kuelekea jangwani for m4c hapo kesho,sasa naomba unisaijie ujumbe gani nitupie hapo bangoni?,nawasilisha
Andika , NAIPENDA CCM, NITASEMA UKWELI DAIMA UONGO KWANGU MWIKO ! CCM NAMBARI WANI ! JK NDIO RAIS BORA KABISA TANZANIA, ZIDISHA MAPINDUZI YA KILIMO NASISI TUPO NYUMA YAKO !
Miye mmatumbi nitaongozana na rafiki zangu ambao ni wamakua, wanyakyusa, wandengereko, wabena, wasandawe wanyaturu, wanyiramba, wasukuma the list goes on...............tunakwenda bila matarajio ya kupata t shirt, khanga wala ubwabwa, kipato chetu cha kubangaiza lakini tutaacha shughuli zetu na kuelekea Jangwani, tukikosa nauli tutatembea na miguu sasa basi endelea kuongelea hiyo jumuiya ya wachaga as if hayo makabila tajwa hapo juu nayo ya ukaribu wa kihivyo na wachaga.........kalaghabaosiunajua kesho ndio siku yetu ya kujumuika wachaga wa dsm.
Andika MBOWE TUNAKUOMBEA MAISHA MAREFU.
mkuu hana haja ya kuandika bango ila atembee na tshirt iliyoandikwa hivyo!Andika bango lako maneno hayo.. Halafu katisha mitaa ya Tandika pale.. au Tandale pale.. au Manzese pale.. Utapata jibu kama CCM ni nambari wani au mafisadi nambari wani.. Wewe ufanye kama unapita tu.. Maana mnadhani maeneo hayo bado watanzania hawajaamka..
Andika , NAIPENDA CCM, NITASEMA UKWELI DAIMA UONGO KWANGU MWIKO ! CCM NAMBARI WANI ! JK NDIO RAIS BORA KABISA TANZANIA, ZIDISHA MAPINDUZI YA KILIMO NASISI TUPO NYUMA YAKO !
Andika , NAIPENDA CCM, NITASEMA UKWELI DAIMA UONGO KWANGU MWIKO ! CCM NAMBARI WANI ! JK NDIO RAIS BORA KABISA TANZANIA, ZIDISHA MAPINDUZI YA KILIMO NASISI TUPO NYUMA YAKO !