Sasa katika pitapita zangu ile nafungua jf yangu tu nakutana na hamisi mohamedi. Nikajua hataaa simu yangu itakuwa imechanganyikiwa. Kumbe kweli bwana nipo jf mh jamani we hamisi huku watu wanaenda kimya kimya. Naona itakuwa fb imejaa sasa mark zuckberg. Kaona awalete wengine huku