Niache kumsaidia?

Niache kumsaidia?

Mashaxizo

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2013
Posts
6,707
Reaction score
3,355
Muhali gani wapendwa?
..
Hapa nimepata kigugumizi!
Kuna Msichana 1 anasoma O level, (per day school) mm na yeye ni majirani.
Huu ni mwaka wa tatu nimekua nikimsaidia kimasomo (sio kumpa hela) just namfundisha baadhi ya masomo ninayoyajua na kumpatia baadhi ya Materials niliyotumia! Nafanya hivyo kama jirani tu! Ukizingatia wazazi wake wanamlinda sanaaa! Kiasi cha kutomruhusu kwenda tuition! Ruhusa anayopata ni kuita wanafunzi wenzie na kujadiliana masomo ndani kwao! Kwa vile yeye (huyo ke) na mimi ni majirani, hapati kikwazo cha kuja home na kumfundisha. Baadhi ya siku anakuja peke yake baadhi ya siku anakuja na wenzake!
TATIZO
Ananiletea story za kimapenzi punde baada ya lecture! Sometimes mi najadili mada yeye katoa mimacho tu! Hayupo kabisaaa! Mimi nilimwambia tayari nina Mchumba!
Kiufupi simpendi (kimapenzi)! My nimpendae yuko mbali, nahisi nitashindwa kuvumilia! Sitaki kuondoa uaminifu wangu kwa wazazi wake! Nahisi sio sahihi kuwaambia wazazi wake!!!!
...
Naomba wale walimu, hata watoa huduma wengine waseme wanakabiliana vipi na issue kama hizi.
Nyote mnakaribishwa!
 
huyo hayupo serious na masomo yake and atakuwa hana mapenzi ya kweli ni kwa kuwa upo naye karibu tu na kwao anabanwa saana!! cha kufanya mwambie kwa msisitizo kuwa hutaki mahusiano naye ila akishindwa kuelewa ndo uache kumfundisha
 
Huyo mtoto wa O level amefika miaka 18 lakini?
Mwambie we sio size yake akacheze na watoto wenzie!!Halafu asipoacha utovu wa adabu tution hakuna tena,maana saa hizi we umekazana kufundisha ye macho anakodolea kwenye suruali lol!!
 
sizitaki mbichi hizi,,,,,,,,,,,
Kiufupi simpendi (kimapenzi)! My nimpendae yuko mbali, nahisi nitashindwa kuvumilia! Sitaki kuondoa uaminifu wangu kwa wazazi wake! Nahisi sio sahihi kuwaambia wazazi wake!!!!
 
kwani wewe ni mwalimu by profesheni? kama sio acha kumfundisha huyo dogo inaonekana anataka kukuletea majangakwani utampoteza huyo umpendaye na vilevile utafungwa jela kwa kuwa dogo huyo bado ni mwanafunzi...chunga kaka!!
Muhali gani wapendwa?
..
Hapa nimepata kigugumizi!
Kuna Msichana 1 anasoma O level, (per day school) mm na yeye ni majirani.
Huu ni mwaka wa tatu nimekua nikimsaidia kimasomo (sio kumpa hela) just namfundisha baadhi ya masomo ninayoyajua na kumpatia baadhi ya Materials niliyotumia! Nafanya hivyo kama jirani tu! Ukizingatia wazazi wake wanamlinda sanaaa! Kiasi cha kutomruhusu kwenda tuition! Ruhusa anayopata ni kuita wanafunzi wenzie na kujadiliana masomo ndani kwao! Kwa vile yeye (huyo ke) na mimi ni majirani, hapati kikwazo cha kuja home na kumfundisha. Baadhi ya siku anakuja peke yake baadhi ya siku anakuja na wenzake!
TATIZO
Ananiletea story za kimapenzi punde baada ya lecture! Sometimes mi najadili mada yeye katoa mimacho tu! Hayupo kabisaaa! Mimi nilimwambia tayari nina Mchumba!
Kiufupi simpendi (kimapenzi)! My nimpendae yuko mbali, nahisi nitashindwa kuvumilia! Sitaki kuondoa uaminifu wangu kwa wazazi wake! Nahisi sio sahihi kuwaambia wazazi wake!!!!
...
Naomba wale walimu, hata watoa huduma wengine waseme wanakabiliana vipi na issue kama hizi.
Nyote mnakaribishwa!
 
nilishakutana na hali inayofanana na yako, japo kwa upande wangu kulikuwa na utofauti kdg.
Nilichofanya niliacha kumsaidia na nikakata mawacliano nae coz niligundua kuwa bint alikuwa anawaza mapenzi tu hata nilipojaribu kumuelewesha na kumuambia ukweli kuwa nilikuwa na mchumba na nilikuwa ktk hatua za kufunga ndoa huyo dogo hakunielewa.

Nilijifunza kuwa msaada wangu kwake haukuwa na maana coz yeye alichotaka ni mapenzi na sio kusoma.
Hauwezi kumlazimisha punda kunywa maji, hatakama utamkokota mpaka mtoni.
 
Akili ndogo imeshaanza kuitawala kubwa hataelewa tena. labda umsaidie kwa kuanza kumu-influence juu ya umuhimu na yeye kujitunza kama binti. Uwe unamshauri na kumjenge kuwa kujitunza ndio best option kwa msichana yeyote umwambie nawe pia unajitunza. Ili kuanza kumjengea impossibilities. Ila ukimchekea chekea unaongeza uwezekano wa kujiharibia heshima yako mkuu. kwako mwenyewe na watakaofahamu. Si unajua hakunaga siri ya wawili sio??


Muhali gani wapendwa?
..
Hapa nimepata kigugumizi!
Kuna Msichana 1 anasoma O level, (per day school) mm na yeye ni majirani.
Huu ni mwaka wa tatu nimekua nikimsaidia kimasomo (sio kumpa hela) just namfundisha baadhi ya masomo ninayoyajua na kumpatia baadhi ya Materials niliyotumia! Nafanya hivyo kama jirani tu! Ukizingatia wazazi wake wanamlinda sanaaa! Kiasi cha kutomruhusu kwenda tuition! Ruhusa anayopata ni kuita wanafunzi wenzie na kujadiliana masomo ndani kwao! Kwa vile yeye (huyo ke) na mimi ni majirani, hapati kikwazo cha kuja home na kumfundisha. Baadhi ya siku anakuja peke yake baadhi ya siku anakuja na wenzake!
TATIZO
Ananiletea story za kimapenzi punde baada ya lecture! Sometimes mi najadili mada yeye katoa mimacho tu! Hayupo kabisaaa! Mimi nilimwambia tayari nina Mchumba!
Kiufupi simpendi (kimapenzi)! My nimpendae yuko mbali, nahisi nitashindwa kuvumilia! Sitaki kuondoa uaminifu wangu kwa wazazi wake! Nahisi sio sahihi kuwaambia wazazi wake!!!!
...
Naomba wale walimu, hata watoa huduma wengine waseme wanakabiliana vipi na issue kama hizi.
Nyote mnakaribishwa!
 
Hujamfundisha hadi practical reproduction wewe? Naona kama vile umeshakula vitu ila unatafuta jinsi ya kuchomoka
 
Muhali gani wapendwa?
..
Hapa nimepata kigugumizi!
Kuna Msichana 1 anasoma O level, (per day school) mm na yeye ni majirani.
Huu ni mwaka wa tatu nimekua nikimsaidia kimasomo (sio kumpa hela) just namfundisha baadhi ya masomo ninayoyajua na kumpatia baadhi ya Materials niliyotumia! Nafanya hivyo kama jirani tu! Ukizingatia wazazi wake wanamlinda sanaaa! Kiasi cha kutomruhusu kwenda tuition! Ruhusa anayopata ni kuita wanafunzi wenzie na kujadiliana masomo ndani kwao! Kwa vile yeye (huyo ke) na mimi ni majirani, hapati kikwazo cha kuja home na kumfundisha. Baadhi ya siku anakuja peke yake baadhi ya siku anakuja na wenzake!
TATIZO
Ananiletea story za kimapenzi punde baada ya lecture! Sometimes mi najadili mada yeye katoa mimacho tu! Hayupo kabisaaa! Mimi nilimwambia tayari nina Mchumba!
Kiufupi simpendi (kimapenzi)! My nimpendae yuko mbali, nahisi nitashindwa kuvumilia! Sitaki kuondoa uaminifu wangu kwa wazazi wake! Nahisi sio sahihi kuwaambia wazazi wake!!!!
...
Naomba wale walimu, hata watoa huduma wengine waseme wanakabiliana vipi na issue kama hizi.
Nyote mnakaribishwa!

Hit and run......!
 
Muulize amewahi kufanya?Kama bikra kula mzigo!She needs it now!Ila huwa havikawii kukamata mimba
 
Huyo mtoto wa O level amefika miaka 18 lakini?
Mwambie we sio size yake akacheze na watoto wenzie!!Halafu asipoacha utovu wa adabu tution hakuna tena,maana saa hizi we umekazana kufundisha ye macho anakodolea kwenye suruali lol!!

Mhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Haki ya Mungu walai! Watu 8 unapenda sana utani! Mwwe!
Napata picha y watu wengi wanakuitaga mtani!
Haya japo hujui kabila langu nami naanza kukuita MTANI!!!!
...
Mtani nikimfundisha mada hizo si nitakula mzigo jamen!!!!
Afu muonja Asali haonji mara moja! Hahahahaaa!

Ha ha ha...

Anza kumfundisha topic ya Riprodaksheni, tena tumia kitabu cha Tropiko Baioloji kina picha nzuri kweli
 
Hawa watoto walokuwa kwenye adolesence wanasumbua sana kwasababu ndo joto limewazidi wanakuwa na mshawasha wa kujaribu kila kitu!!We cheka cheka nae atakutia dole la macho...
 
Back
Top Bottom