Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 543
- 524
heeeh mkuu??
eti mtu ana uwezo wake akampeleka mwanawe shule ya kata na kufuatilia maendeleo yake huku mtoto anaenda shuleni kashiba hana stress,hana mawazo kwamba nikirudi chakula kipo au hakipo,anaenda shuleni na nguo safi na anaenda ama kwa daladala au kabaskeli kake hana tabu.
kwa hivyo hii ni kumnyima mtoto mpaka umpeleke shule za mamilioni eti ndo hujamnyima.
bosi samahani nikuulize hivi kweli ulifikilia unachokiandika kweli??
dah aisee hatari sana
Bro nenda mwenyewe hizo shule za kata uone hali halisi ndo utanielewa..shauri lako. Mimi mlinzi wangu ana mshahara wa kawaida anafanya overtime na kazi za ziada anamsomesha mtoto english medium. Mimi mama yangu alikua single mother na mpishi tu yani tuseme mama ntilie na alinisomesha english medium mpaka scholarship alinitafutia ..sasa wewe una pesa zako unaweka ubahili katika elimu aibu yako mkuuu. aibu sana.. umekaa baa unalewa mtoto unampeleka shule ya kufikirika.. we utakkuwa tu choka mbayaa. hata hio hela hauna sema tu ukweli.huwezi ukawa na uwezo wako unaona ubahili million mbili kwa mwaka na umekaa cape town fish market.nyie ndo wale mnaenda pale mnakunywa maji bro...