kocha Nabi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2022
- 590
- 1,466
Watu wengi hawafahamu kwanini wanapeleka watoto wao English Medium, wengi wanaamini ni sehem sahihi ya kupata elimu nzuri, ama kwavile mtu unapesa acha uwaoneshe watu anazo kwa kupeleka watoto wake shule hizo.
Sababu kuu ni moja tu ambayo sitakaa niisahau, katika harakati zangu kipindi natoka kumaliza chuo nilipata kijikazi cha kufundisha watoto wa tajiri mmoja hivi biashara zake anafanya South Africa, lakini familia yake inaishi maeneo ya Kurasini.
Ilikuwa kipindi cha likizo kwa watoto wake wawili na mimi nikapewa ratiba ya kwenda kuwanoa, sasa wakati nimemaliza kufundisha kwa siku hiyo, tukawa tunapiga story 2 tatu na huyu faza na katika maongezi yetu alikuwa very exited na historia yangu na kufanya kuita wanae kuwapa maneno ya hekima.
Neno moja kuu ambalo nimelielewa ni kuwasisitizia watoto wake kuwa, amewapeleka shule zenye hela ili wakakutane na watu, waweze kujenga connections. Nilimuelewa sana yule mzee.
Hii dunia imechange pakubwa, zamani watu wa familia maskini waliosoma ndio walibahatika sana kupata post za juu kwenye ajira ama makampuni lakini kwa miaka hii, matajiri huekana wao kwa wao ili kusecure their buzness, kurahisisha shida zao n.k
Ni rahisi kufanikiwa katika hii nchi kama unafahamiana na watu wa maana, na hao watu asilimia kubwa hawapatikani shule zetu za kata, tusije kujifariji kwenye ufaulu.
Hoja kuu ni connection.
Sababu kuu ni moja tu ambayo sitakaa niisahau, katika harakati zangu kipindi natoka kumaliza chuo nilipata kijikazi cha kufundisha watoto wa tajiri mmoja hivi biashara zake anafanya South Africa, lakini familia yake inaishi maeneo ya Kurasini.
Ilikuwa kipindi cha likizo kwa watoto wake wawili na mimi nikapewa ratiba ya kwenda kuwanoa, sasa wakati nimemaliza kufundisha kwa siku hiyo, tukawa tunapiga story 2 tatu na huyu faza na katika maongezi yetu alikuwa very exited na historia yangu na kufanya kuita wanae kuwapa maneno ya hekima.
Neno moja kuu ambalo nimelielewa ni kuwasisitizia watoto wake kuwa, amewapeleka shule zenye hela ili wakakutane na watu, waweze kujenga connections. Nilimuelewa sana yule mzee.
Hii dunia imechange pakubwa, zamani watu wa familia maskini waliosoma ndio walibahatika sana kupata post za juu kwenye ajira ama makampuni lakini kwa miaka hii, matajiri huekana wao kwa wao ili kusecure their buzness, kurahisisha shida zao n.k
Ni rahisi kufanikiwa katika hii nchi kama unafahamiana na watu wa maana, na hao watu asilimia kubwa hawapatikani shule zetu za kata, tusije kujifariji kwenye ufaulu.
Hoja kuu ni connection.