Ni kweli wa kwangu watasoma Sekondariza serikali zile nzuri sio za kata lakini,zipo shule nzuri tu mfano hizi za boarding ni kweli uchumi umebana sana kwa sasa ila hakuna namna wa kwangu lazima wasomeMimi pia hili ndilo lengo langu kuu la kuwapeleka wanangu english medium Sekonfari watasoma hata za kata. madam wana msingi mzuri wao mbele watajipanga. shida inakuja hali ya kiuchumi upepo umegeuka ghafra na hela hakuna. hivyo unajikuta unafanya maamuzi magumu. ila nashauli asitoke english medium akaenda kayumba. bali atoke shule ya ada kubwa aje ya chini zaidi kulingana na kipato chako. mfano alikuwa Tusiime mrudishe St Nicholau ya 1.5m