Angalia usiwe kama Ngoswe
Penzi kitovu cha uzembe au?
Habari za J2 wana JF!!!!!Nimesafiri nipo maeneo fulani hivi huku Ifakara .k.a Upogoroni!!!Nipo kikazi!!!!Kwa kweli wenyeji wangu wamenipokea vizuri sana!!!!!Ila naomba mnisaidie kwa yeyote anayejua kiundani tabia za kabila la huku ususani hawa mabinti,manake ntakuwapo huku for almost 2months!!!!Nadhani mpaka hapo wakuu mmeshanielewa nina maana gani!!!!Karibuni!!!!
Sasa wewe uko huko na umeshasema wapogoro oyee...Halafu unatuuliza sisi tena?
Habari za J2 wana
JF!!!!!Nimesafiri nipo maeneo fulani hivi huku Ifakara .k.a
Upogoroni!!!Nipo kikazi!!!!Kwa kweli wenyeji wangu wamenipokea vizuri
sana!!!!!Ila naomba mnisaidie kwa yeyote anayejua kiundani tabia za
kabila la huku ususani hawa mabinti,manake ntakuwapo huku for almost
2months!!!!Nadhani mpaka hapo wakuu mmeshanielewa nina maana
gani!!!!Karibuni!!!!
Usisahau kupitia pitia mitaa ya mlabani, kwa shungu, lumemo, kibaoni, Lumemo, Ifakara, Jongo, Mhola,,,ukiwamaliza huko nenda na kining'ina katindiuka, kikwawila ukimaliza huko utakuwa umebaki kama njiti ya kibiriti
Apewe pepeta...atafune mpaka kichwa kimuume
Ha ha ha, kweli, kuna wakati niliend Ifakara nikakuta wanauza kitu kinaitwa 'pepeta', kwanza nlivyosikia wanatangaza tangaza, nikajiambia 'skafulillah, wanauza kondomu za kike hadharani?'. Mara naona mchele ulobantalala, sikupata akili ya kununua nionje.
Mmmmmmhkabila halina nafas sana kwenye tabia ya mtu nowdays