mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,969
- 6,460
Binafsi nimeona bidhaa zinazotoka china zimepanda bei, wauzaji wakisingizia, au labda ni kweli kwamba viwanda vimefungwa, hivyo wanauza stock wakiwa hawajui mwisho wa tatizo , kuna watu watatajirika kutokana na huu ugonjwa.
Wadau
Ni nini kingine unakiona kama fursa kutokana na na huu ugojwa? Hizo mbwembwe nilizo sema hapo juu , binafsi nimeziona kama hao wafanya biashara wameona fursa so wanazitumia ipaswavyo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau
Ni nini kingine unakiona kama fursa kutokana na na huu ugojwa? Hizo mbwembwe nilizo sema hapo juu , binafsi nimeziona kama hao wafanya biashara wameona fursa so wanazitumia ipaswavyo!
Sent using Jamii Forums mobile app