hapo juu umelist vizuri faida za kijana aliye pitia JKT anatakiwa kuwa,hizi issues za ufisadi na kukosa uzalendo kwa baadhi ya watu waliopita JKT isiwe kigezo cha kuhukumu maelfu ya Watanzania waliopita mafunzo hayo kwamba kwamba siyo wazalendo,ni kupoteza muda na rasilimali za nchi. Kwa maoni yangu JKT ni muhimu zaidi sasa kama sehemu ya kuwaunganisha vijana wa Tanzania ambao wametenganishwa ktk matabaka elimu,shule za kata na academy. Ningependa hata itengenezwe programu maalum kwa watumishi wa serikali,taasisi na mashirika ya umma ambao hawakupitia mafunzo haya,wapelekwe huko sasa! Inaweza ikawa ni programu ya miezi mitatu kwa intake.