Ni zipi faida za kutoa mahari?

Lyetu

JF-Expert Member
Feb 11, 2018
1,116
2,954
Habari za jioni wapendwa katika bwana.

Jamii nyingi za Kiafrika wanao utaratibu wa mwanaume kutoa mahari ili aweze kumuoa binti.

Baadhi ya watu husema mahari ni kama shukurani kwa wazazi wa mke, je hawa wazazi wamume ambao wamezaa kichwa cha familia mbona hawapewi shukurani?

Naomba kuelimishwa mahari ninayotoa inamsaada gani kwangu, Mkewangu na watoto.

Kulingana na ugumu wa maisha haswa bara la Africa kuna haja ya kuendelea na huu utaratibu?
 
Mahari milioni mbili halafu mtu anakupikia chapati ngumu kuliko maisha yako....Mahari zifutwe.
Kupika hakuhusiani na mahari.....uzoefu katika mapishi inategemea na utamaduni wa Binti husika kulingana mtindo wao wa maisha.....ukimhukumu mmasai kwa upishi mbovu wa wali au chapati utakuwa umemuonea hata kama umetoa mahari ng'ombe 500......
 
Mahari milioni mbili halafu mtu anakupikia chapati ngumu kuliko maisha yako....Mahari zifutwe.
Kupika hakuhusiani na mahari.....uzoefu katika mapishi inategemea na utamaduni wa Binti husika kulingana mtindo wao wa maisha.....ukimhukumu mmasai kwa upishi mbovu wa wali au chapati utakuwa umemuonea hata kama umetoa mahari ng'ombe 500......
Mume sio chema? Nisababu zipi za msingi zinazuia wazazi wamume wasipewe shukurani na wapewe wa mke tu.
Kiwango na utaratibu wa mahari vinatofautiana kutoka jamii moja mpaka jamii nyingine......kama hiyo jamii ina utaratibu wa kumpa mwenye binti shukrani pasi na chochote ni sehemu ya mila zao na wanafurahia kufanya hivyo.....
 
Heshima tu kwa mtoto wa kike

Kupika hakuhusiani na mahari.....uzoefu katika mapishi inategemea na utamaduni wa Binti husika kulingana mtindo wao wa maisha.....ukimhukumu mmasai kwa upishi mbovu wa wali au chapati utakuwa umemuonea hata kama umetoa mahari ng'ombe 500......

Kiwango na utaratibu wa mahari vinatofautiana kutoka jamii moja mpaka jamii nyingine......kama hiyo jamii ina utaratibu wa kumpa mwenye binti shukrani pasi na chochote ni sehemu ya mila zao na wanafurahia kufanya hivyo.....
Asante mkuu, nahisi kama vijana wa sasa tunasombwa tu na huo utaratibu, kama wapo wanaofurahia kutoa mahari kwa sababu ni mila zao niwachache sana.
 
Habari za jioni wapendwa katika bwana.

Jamii nyingi za kiafrika wanao utaratibu wa mwanaume kutoa mahari ili aweze kumuoa binti.

Baadhi ya watu husema mahari ni kama shukurani kwa wazazi wa mke, je hawa wazazi wamume ambao wamezaa kichwa cha familia mbona hawapewi shukurani?

Naomba kuelimishwa mahari ninayotoa inamsaada gani kwangu, Mkewangu na watoto.

Kulingana na ugumu wa maisha haswa bara la Africa kuna haja ya kuendelea na huu utaratibu?


Mahari katika dini ya Uisilamu anapewa muolewaji na hiyo ni pesa au mali au zawadi yake kutoka kwa mumewe na wala sio mali ya mtu mwingine kama baba, mama, mjomba nk.
 
Kiutamaduni wa afrika:
Heshima kwa familia iliyokutunzia MKE mpk ukamuona anafaa kua wenza wako wa maisha.

Kiimani Islamic,
Mahali anapewa Binti mwenyewe kwa heshima yake kujitinza vema na kujiweka katika ubora ule uliomkuta nao

YOTE KWA YOTE
MAHALI ILIWEKWA KWA ajili ya MWANAMKE BIKRA TU,

Maana heshima ya mwanamke kujitunza au kutunzwa vema iko pale kwenye tunda la mti wa mema na mabaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom