Lyetu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 1,116
- 2,954
Habari za jioni wapendwa katika bwana.
Jamii nyingi za Kiafrika wanao utaratibu wa mwanaume kutoa mahari ili aweze kumuoa binti.
Baadhi ya watu husema mahari ni kama shukurani kwa wazazi wa mke, je hawa wazazi wamume ambao wamezaa kichwa cha familia mbona hawapewi shukurani?
Naomba kuelimishwa mahari ninayotoa inamsaada gani kwangu, Mkewangu na watoto.
Kulingana na ugumu wa maisha haswa bara la Africa kuna haja ya kuendelea na huu utaratibu?
Jamii nyingi za Kiafrika wanao utaratibu wa mwanaume kutoa mahari ili aweze kumuoa binti.
Baadhi ya watu husema mahari ni kama shukurani kwa wazazi wa mke, je hawa wazazi wamume ambao wamezaa kichwa cha familia mbona hawapewi shukurani?
Naomba kuelimishwa mahari ninayotoa inamsaada gani kwangu, Mkewangu na watoto.
Kulingana na ugumu wa maisha haswa bara la Africa kuna haja ya kuendelea na huu utaratibu?