Yap, Baada ya uhuru wa Zanzibar 1963, kulikuwa na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa Unguja. Na hivyo ndivyo ilivyokuwa ikiandikwa katika nyaraka za serikali hiyo. Baada ya Mapinduzi ndio jina la Pemba likaanza kusikika na kuwa maarufu baada ya Muungano na Tanganyika.
Mkuu.
Jina Tanzania lina historia yake na maana yake.
Muungano ukienda kuzimu hakuna Tanzania tena.Lile jina tuliloliweka ghalani itabidi tulitoe na kulifuta mavumbi..ili tuanze safari mbele kwa mbele!
Naamini hawa viongozi wa Tanzania, "Tzbara" na Zanzibar wanajificha nyuma ya pazia la muungano huku wakitugawia umaskini.Ukivunjika hawa viongozi hawatakuwa na pa kujifichia.Itawapasa kuchapa kazi au kuelemewa na hasira ya Umma.
Wanzenji watapata nchi yao pale tu watanganyika watakapodai nchi yao TANGANYIKA. Wanzenji hawana jipya wawe wazi na wapitishe azimio kwny baraza la wawakilishi kama hawautaki muungano. Tahadhari yangu ni kuwa athari ni nyingi kuliko faida, hawa waliohamia kkoo magomen ilala na kwngneko tutawatimua au. Vip tanesco wakikata waya kwa misingi ya kwamba hawafanyi biashara na zanzibar? waache propaganda wanazodangana nazo vibarazan bila ya kutumia logic
Sasa hivi kuna NCHI ya Zanzibar kwa sababu ya huu Muungano. Muungano huu umewaudhi wanamapinduzi daima kwa kumpa Urais Dk Shein, Mpemba. Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim SEif ambaye sio tu ni Mpemba bali pia HIZBU damu. Wapeni NCHI yao wapinduane tena.
Wanzenji watapata nchi yao pale tu watanganyika watakapodai nchi yao TANGANYIKA. Wanzenji hawana jipya wawe wazi na wapitishe azimio kwny baraza la wawakilishi kama hawautaki muungano. Tahadhari yangu ni kuwa athari ni nyingi kuliko faida, hawa waliohamia kkoo magomen ilala na kwngneko tutawatimua au. Vip tanesco wakikata waya kwa misingi ya kwamba hawafanyi biashara na zanzibar? waache propaganda wanazodangana nazo vibarazan bila ya kutumia logic
mm nataka kukuliza wewe @nguruvv ivi wewe ungekuwa unatokea visiwani unelikubali uburuzwe haka hivi ? or kwa kuwa wewe mtanganyika ndio unaona hivyo unavyoona wewe . usiwe na akili kama za hilo jina lako sawa hebu jaribu kuwa mstarabu unaweza kuifikiria znz kabla ya kuungana hembu vuta hisia kwanza, tell me nn umepicture? watu wenye busara na uzalendo wa hali ya juu kwa nchi yao si ndio ? sema ukweli ...hiii ndio zanzibar tuitakayo bajomba
Wildcat.. ndio maana swali moja ambalo hatujalisikia ni kuona Wazanzibari walioko Bara waandamane kudai nchi yao.. kwanini wanaodai Zanzibar ni walioko Zanzibar zaidi na nje ya nchi - London in particular? Binafsi ningependa waitishwe Wazenji walioko Dar waanza kuisumbua serikali ya TZ kama walivyofanya IRA kwa Waingereza kule.
Nyerere alisema kitu ambacho kinaukweli; wakishatoka kwenye Muungano watajikuta hakuna tena "Wazanzibari" bali kuna Wapemba na Waunguja na na Wabara. Hili ni kweli - ni Wazanzibari kwa sababu ya Muungano. Wanafikiri kwamba husuda na visasi vya kabla ya mapinduzi vimetoweka.
GDP kubwa iliwanufaisha wananchi wakawaida? au ndio stories za wachumi za kila siku zisizo na manufaa kwa sisi wauswazi.
Wakat wazenj hawapendi muungano, waingereza nao hawaipendi familia ya malkia (royal family). Wanadai inatumia hela zao vibaya na sio 'fair' kwamba wengine wawe bora zaidi kwasababu tu ni sehemu ya familia ya malkia (source:British Royal Wedding Blogs - Yahoo! Shine). Nini maana ya muungano? Inawezekana kuungana bila kupoteza 'opportunities' ambazo awali ulikuwa nazo? Ukiungana hakuna 'Opportunities' mpya zinazojitokeza? Kwanini Australia na New Zealand bado zipo chini ya himaya ya malkia? Kwa waznz mchawi wao sasa ni muungano, ni kawaida ya binadamu kutafuta mchawi.
Endelea hivyo hivyo ... Lakini kwa taarifa yako Muungano utavunjwa, ukikasirika ,ukinuna, ukilia shauri yako... watu wa Zanzibar sio wazembe wala wajinga... Kama wewe mtanganyika huwezi kudai haki zako hilo juu yako... Na huwezi kufanya hivyo kwasababu wewe unafaidika zaidi na huu Muungano "fake". HEBU NAMBIE HUWO UWELEWO WAKO AU WENU, kWANINI TANZANIA (TANGANYIKA) MASIKINI?
AU WEWE UMERIDHIKA NA HALI YA MAISHA ILIVYO SASA... AU WEWE NI MIONGONI MWA WALE WALIOKO KATIKA SYSTEM KWAHIYO UMEWEKA PAMBA MASIKIONI... KERO ZA MUUNGANO SASA ZINA MUDA GANI ? AU MPKA SIKU MKIFURAHI NDIO MTATATUA HIZO KERO ? SASA WEWE UNATEGEMEA NINI BAADA YA MUDA WOTE BILA YA UFUMBUZI WOWOTE...
WATU WANATAKA UHURU WA MAMLAKA YA NCHI YAO...KAMA HILI LINAKUKERA BASI WEWE NI MKOLONI, MWEUSI . NA HII NI MBAYA ZAIDI ,KWASABABU WEWE MWENYEWE UNANJAA, HUJUI NINI UNAFANYA, KIGEZO ANGALIA NCHI YAKO...UMASIKINI ,PAMOJA NA RASILIMALI ZOTE ZILIZIPO... KAMA UNA ELIMU BASI HIYO ELIMU YAKO YA BURE, INAKUSAIDIA WEWE MWENYWEWE NA SIO MTU MWENGINE.
UJINGA KUKAA KIMYA...HOPING ONE DAY EVERYTHING WILL BE FINE...HATUTAKI MUUNGANO WA KULAZIMISHANA...PERIOD .
hapo mwanakijiji anawazindua watanganyika mlo lala usingizi mzito amkeni mudai tanganyika yenu., wenzenu wa ZNZ Washaamka wanataka chao. Watanganyika ni wavivu wa kushiriki/kuelewa siasa.
Wildcat.. ndio maana swali moja ambalo hatujalisikia ni kuona Wazanzibari walioko Bara waandamane kudai nchi yao.. kwanini wanaodai Zanzibar ni walioko Zanzibar zaidi na nje ya nchi - London in particular? Binafsi ningependa waitishwe Wazenji walioko Dar waanza kuisumbua serikali ya TZ kama walivyofanya IRA kwa Waingereza kule
Mimi najiuliza kwamba je wanzibar kiuchumi mmoja mmoja hawajanufaika na muungano?kwa nini wasisusie Dar .Nikiangalia msururu wa wanasiasa ambao wana vyeo kutokana na muungano na walivyowekeza bara na matamshi wanayoyatoa wakiwa zenji ni kama wanafanya usanii .Yale maduka ya spea yaliyoko kariakoo mashamba ya mipunga waliyonunua kyela na sehemu nyingine za bara.Wapemba walivyohamiag kwa wingi Tanga.Kwa watu wa zenji walivyo huku bara sidhani kama wazo la kuvunja muungano wanalikubali ni kama unawaambia wapoteze mapato yao yanawaezesha kuishi kulea n.k.
Wildcat.. ndio maana swali moja ambalo hatujalisikia ni kuona Wazanzibari walioko Bara waandamane kudai nchi yao.. kwanini wanaodai Zanzibar ni walioko Zanzibar zaidi na nje ya nchi - London in particular? Binafsi ningependa waitishwe Wazenji walioko Dar waanza kuisumbua serikali ya TZ kama walivyofanya IRA kwa Waingereza kule.
Nyerere alisema kitu ambacho kinaukweli; wakishatoka kwenye Muungano watajikuta hakuna tena "Wazanzibari" bali kuna Wapemba na Waunguja na na Wabara. Hili ni kweli - ni Wazanzibari kwa sababu ya Muungano. Wanafikiri kwamba husuda na visasi vya kabla ya mapinduzi vimetoweka.