Yap, Baada ya uhuru wa Zanzibar 1963, kulikuwa na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa Unguja. Na hivyo ndivyo ilivyokuwa ikiandikwa katika nyaraka za serikali hiyo. Baada ya Mapinduzi ndio jina la Pemba likaanza kusikika na kuwa maarufu baada ya Muungano na Tanganyika.
Wanzenji watapata nchi yao pale tu watanganyika watakapodai nchi yao TANGANYIKA. Wanzenji hawana jipya wawe wazi na wapitishe azimio kwny baraza la wawakilishi kama hawautaki muungano. Tahadhari yangu ni kuwa athari ni nyingi kuliko faida, hawa waliohamia kkoo magomen ilala na kwngneko tutawatimua au. Vip tanesco wakikata waya kwa misingi ya kwamba hawafanyi biashara na zanzibar? waache propaganda wanazodangana nazo vibarazan bila ya kutumia logic