Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Kati ya hawa ni nani utakeyempa shillingi kwanza?
khaa, roho ya kutu iyo!hapati mtu kitu hapa....
Mkuu Askari Kanzu kati ya wote mimi nitampa wa kwanza ni paka anatia huruma sana jamani muwaoneini huruma wanyama .Hii ni kali kuipata zote.Kati ya hawa ni nani utakeyempa shillingi kwanza?
Aisee huyo nyau ndio kamaliza kabisa!Kati ya hawa ni nani utakeyempa shillingi kwanza?
Aisee huyo nyau ndio kamaliza kabisa!
Kati ya hawa ni nani utakeyempa shillingi kwanza?
Kati ya hawa ni nani utakeyempa shillingi kwanza?
mkuu Ipycalypse hiyo avatar yako huwa inanitisha sana!!!Haa ha aa aha huyo paka anaonekando kachoka zaidi so nitaanza nae Ha aha aha aha
siyo kawaida aiss macho hayo,na huo mdude mweusi uliojifunika kha!!!ngoja nitakutafutia nyingine utaipenda,ubadili hiyo!!!!
Huyo wife mwenzio ha ha aha aha aha aha
siyo kawaida aiss macho hayo,na huo mdude mweusi uliojifunika kha!!!ngoja nitakutafutia nyingine utaipenda,ubadili hiyo!!!!
hiyo ya kisu niiwahi kuiona nikashituka pia!sijui watu wanapenda vitu vya kutisha!hahahahahahah lol! mie nilivyoiona kwa mara ya kwanza wala sikutia neno niliamua kuminya tu ...bora weye umeamua kumwambia. Mtafutie nyingine chapchap ...ila kulikuwa na nyingine jamaa kapikwa kisu kichwani kwa nyuma kimetokezea usoni yaani ilikuwa inatisha sana, sijaiona kipindi sasa.