Mkuu, biblia inasema, kuna wakati wa kulia na wakati wa kucheka, kuna wakati wa kulima na wakati wa kuvuna, sasa huu niwakati wa kusema, subiri utafika wakati wa kunyamaza, nikuulize swali rahisa?Naona vituo vya Radio eg Wasafi na magazeti kibao ziko dalili za kupokea mkwanja ili kumsifu hata asipo stahili Rais wetu?..
Hata kwa Magu mbona ilikuwa hivi hivi.Naona vituo vya Radio eg Wasafi na magazeti kibao ziko dalili za kupokea mkwanja ili kumsifu hata asipo stahili Rais wetu?...
Sasa hivi hata mvua ikinyesha bila kuleta madhara anasifiwaNaona vituo vya Radio eg Wasafi na magazeti kibao ziko dalili za kupokea mkwanja ili kumsifu hata asipo stahili Rais wetu?
Sasa anapokosea nani atakuwa na uwezo wa kukemea atakaye.
Hii ni aibu!
Wenzio wanapiga pesa ndefu za matangazoNaona vituo vya Radio eg Wasafi na magazeti kibao ziko dalili za kupokea mkwanja ili kumsifu hata asipo stahili Rais wetu?
Sasa anapokosea nani atakuwa na uwezo wa kukemea atakaye.
Hii ni aibu!
Kila kitu ni Rais hata pumzi tunayovutaSasa hivi hata mvua ikinyesha bila kuleta madhara anasifiwa
Huko kwingine mahindi yanachanua anapongezwa yeye
Hiyo ni sehemu ya kampeni za uchaguzi wa mwaka 2025 hii haijalishi kwa CCM hata kama ni kwenda kinyume cha sheria za uchaguzi.Naona vituo vya Radio eg Wasafi na magazeti kibao ziko dalili za kupokea mkwanja ili kumsifu hata asipo stahili Rais wetu?
Sasa anapokosea nani atakuwa na uwezo wa kukemea atakaye.
Hii ni aibu!
Hivi hakuna vyama vingine tofauti na CHADEMA? hatari snWafuasi wa Mwendazake a Cdm mnachukia sana Samia akisifia kwa utendaji wake. Mnahofia atafuta Legacy ya Jp. Acheni asifiwe imtie moyo afanye mazuri zaidi
Wanajua hakuna mtu anamkubali huyu mazaHiyo ni sehemu ya kampeni za uchaguzi wa mwaka 2025 hii haijalishi kwa CCM hata kama ni kwenda kinyume cha sheria za uchaguzi.
Yupo uwanjani, ameanza kukimbia peke yake katika shindano la mbio za riadha hata kabla ya washindani wenzake kupatikana au kufika uwanjani.
Kwa CCM mambo yote ya kipuuzi huwezekana!