Ni yapi Madhara ya WiFi (wireless network) kiafya?

Ni yapi Madhara ya WiFi (wireless network) kiafya?

Binafsi nimeona Madhara ya WiFi ya kiafya ambayo ni maumivu ya kichwa (body weakness creation)
Nimethibitisha

Je, wewe unamfaham Madhara mengine ya kiafya na vingine? Unasemaje kuhusu HOJA ya WiFi kusababisha maumivu ya kichwa?

ila hahata kufikiria kwa mda mrefu hupelekea kichwa kuanza kugonga upande mmoja.

kwahiyo uchunguz unafaa uwe ni wa kitaalam zaidi.
 
Uko right. Tutafute suruhu ya iki kitu hasa wale wa WiFi za kwenye magari na vyumbani.Seriously unaweza kufa kisa WiFi

dunia nzima washindwe kugundua athari za wifi ?.

wangesha kua washagundua kitambo sana.

hebu mjaribu kutafuta google kwanza.

{ ila kwangu imeniambia hamna athari }
 
Back
Top Bottom