Nachechemea- Hussein Jumbe
Koza - Suka Chile&Defao
Help please
Naomba Nadina ya Kiswahili
Pamoja sana MkuuDaaaah, hiyo ngoma ya Generalè umenikumbusha mbali sana aisee.
Unaikalia tu politiki,
Asubuhi na mapema yote,
Kazi hautafuti, utakula nini,
Pooole salame na shengeneee,
Sikia mamboooo... Hatari sana mkuu...!
Unaitwa Ndaya! Umeimbwa na Mpongo Love....unaweza kuupakua kwenye sites mbalimbali mitandaoni.Wakuu kuna wimbo mmoja wa kiafrika old skul itakuwa Zouk. Kaimba mama mmoja hivi unaimbwa kwenye chorus
"aye ngaya ya ee,
aye kiboko ya mataifa,
aya ngaya ya ee,
aye kiboko ya mataifa eee."
Siujui jina. Nimejitahidi kutengeneza tune. Kwenye background kuna ka-string flani hivi kanapigwa kivivu sana. ...ti tii....ti tiii, ti tiii .... ti tiii
Msaada wakuu. Naupenda sana ule wimbo. Ulikuwaga unapigwa radio free enzi hizo.
Pamoja sana Mkuu
Hao washua walikuwa wanauvaa uhusika wa wanawake halafu ngoma inabamba vilivyo.
Again, Thanks mkuu
Ukiupata basi nishtue kamanda
Smart guy
Huu ni Uzi Maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
View attachment 628965
Mwanangu Nimechelewa Sana Hii Kitu Ila Naomba Nisaidie Ngoma Ya
1: Umeondoka Mama Rmx Ya Afande Sele
2: Nimbo Za K Sal Yule Jamaa Aliyeimba Mkiwa Na Feruz Na Pia
3: Kuna Ngoma Moja Cjui Kaimba Nani, Ila Inaimbwa Hv.. Wanamwita Kaka Poa Huyu Jamaa, Wanamwita Mambo Safi Huyu Jamaa..
InCase Ukiiona Hii Nisaidie