Ni wimbo gani unaokuboa?

Ni wimbo gani unaokuboa?

Ba ba ba ba ba banjukajuuuuu! Sijui aliimba nani, lakini nadhani ni msanii wa Kenya.
Sijui kama maneno yako sahihi! Wimbo huo unaniboa kishenzi.
 
wimbo wa maisha bora kwa kila mtanzania uliopo kwenye album ya hari mpya,nguvu mpya na kasi mpya ingawa video yake bado sijaiona..
 
1) nyimbo zote za vinega "anti virus album zao zote mbili"

2) Nyimbo za Dudu baya

3) Nyimbo zote za rose muhando

4) Inspekta harun

5) Juma nature

6) wagosi wa kaya

 
Hapa lawyer nimegundua kitu.

Yaani ikianzishwa sredi ya kuulizia nyimbo unazopenda watu wanakuwa bizee kutaja ma nyimbo ya wazungu, leo limeanzishwa sredi la nyimbo zinazokuboa naona majamaa mnatembea na nyimbo za bongo tu.

Nafunga posti kwa signecha ya rais wa wabeba maboksi, mheshimiwa nyani ngabu "miafrika ndivyo tulivyo"

DJ tunaomba wimbo wa taifa
 
Naongea na rizwani, sijui kaimba nani.
Tilalila wa Mr blue.
Oyoyo sijui wa wa rais wa masharobaro.
 
Wale wote wanaojifanya wazaire wakati ni watanzania pale wanapoimba beti zao utasikia...'papa Musofe anakuya Kinondoni kuwaonaga Wana Extra Bongaaa' yeye yeye aha aha aha,sauti ya simba!
 
Back
Top Bottom