Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
wimbo wa taifa la tanzania
'Ongea na RizOne' yaani natamani kuvunja redio !Naongea na rizwani, sijui kaimba nani.
Tilalila wa Mr blue.
Oyoyo sijui wa wa rais wa masharobaro.
We hujui kuwa 'YESU' ni brand !?Napenda kuwasalimu wana jf ASALAAM ALEYKUM na wengine BWANA YESU APEWE SIFA. Kwa upande wangu wimbo ambao kila ninapousikia unaniharibia siku ni wimbo wa Bony Mwaitege unaokwenda kwa jina "njoo ufanyiwe maombi" na sababu kubwa ni kwamba unahamasisha watu kuamini juu ya binadamu wenzao kuponya kimiujiza. Swali la kujiuliza kama wanaombea, ili yule anayeombewa apone anatakiwa awe na imani, sasa kama anaimani na MUNGU ndo yuleyule kwa nini wasihamasishe watu kuomba wao wenyewe ili waponywe? Maana mungu anasema ombeni lolote kwa jina langu(YESU) nanyi mtapata. Handsome wa mama nawasilisha kama ifuatavyo.
Melody ni nzuri lakini content upupu mtupu. Tangu lini KUKU anapanda baiskeli.