The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,613
Hali yangu Alhamdulillah......mimi, familia na mifugo wote tu wazima.....hebu sasa ninong'oneze?:lol::gossip:
aiseee lol
Hali yangu Alhamdulillah......mimi, familia na mifugo wote tu wazima.....hebu sasa ninong'oneze?:lol::gossip:
judith wambura a.k.a
mrs habash
binti machozi
komandoo
jide
lady jd
.
.
.
.
..............
aiseee lol
Right on.... (sijui wale wageniwa jana ndo hawa?):A S-coffee:😛oa
naona safari imeanzisha safari lol
Hapa lawyer nimegundua kitu.
Yaani ikianzishwa sredi ya kuulizia nyimbo unazopenda watu wanakuwa bizee kutaja ma nyimbo ya wazungu, leo limeanzishwa sredi la nyimbo zinazokuboa naona majamaa mnatembea na nyimbo za bongo tu.
Nafunga posti kwa signecha ya rais wa wabeba maboksi, mheshimiwa nyani ngabu "miafrika ndivyo tulivyo"
DJ tunaomba wimbo wa taifa
:a s-coffee::shut-mouth::bored::disapointed::a s embarassed:
wa nani huu wa andazi?
Hahahaha dah! Hii ni kubwa kuliko,tuendelee kumpiga mawe shetani. Nalog offBongo fleva zote zinakera, zinaudhi zinatapisha. zinapendwa tu na mabinti wa form two na wadada wa secretarial.
Kuna hizi Bongo-gospel ukiwemo huo wa Mwaitege, Rose Muhando, Mbasha etc. ambazo zinamkera hata Mungu ndio maana Tanzania iko kwenye laana