- Thread starter
- #61
Naongea na rizwani, sijui kaimba nani.
Tilalila wa Mr blue.
Oyoyo sijui wa wa rais wa masharobaro.
naongea na riz1 wa Izo b. Handsome wa mama naondoka kama ifuatavyo.
Naongea na rizwani, sijui kaimba nani.
Tilalila wa Mr blue.
Oyoyo sijui wa wa rais wa masharobaro.
nyimbo zote za Lady J D. Nalog off
Hata mimi zote kabisa na video zake ndio kabsaaa
Mitungi mikasi blanti ule wa mangwea.
Single mbili za Rahisi Jk ziitwazo hotuba kwa wazee wa Dar kuanzia ile ya kwanza na hii remix ya leo
Na Jeniffer Mgendi sipendi nyimbo zake zoote yaani dah ni balaa
natamani kuwa malaika...........kaimba nani vile?
Imekuwaje tena hujawahi kukaa uswahilini mkuu? Nalog off
Napenda kuwasalimu wana jf ASALAAM ALEYKUM na wengine BWANA YESU APEWE SIFA. Kwa upande wangu wimbo ambao kila ninapousikia unaniharibia siku ni wimbo wa Bony Mwaitege unaokwenda kwa jina "njoo ufanyiwe maombi" na sababu kubwa ni kwamba unahamasisha watu kuamini juu ya binadamu wenzao kuponya kimiujiza. Swali la kujiuliza kama wanaombea, ili yule anayeombewa apone anatakiwa awe na imani, sasa kama anaimani na MUNGU ndo yuleyule kwa nini wasihamasishe watu kuomba wao wenyewe ili waponywe? Maana mungu anasema ombeni lolote kwa jina langu(YESU) nanyi mtapata. Handsome wa mama nawasilisha kama ifuatavyo.