Ni wimbo gani kwa sasa unaweza kuusikiliza kwa masaa hata 7 non-stop

Ni wimbo gani kwa sasa unaweza kuusikiliza kwa masaa hata 7 non-stop

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
23,580
Reaction score
56,800
Kuna pindi Tu inatokea wimbo Fulani ukaupenda Sana yaani unaweza Ku repeat hata mara 100 na usione shida hasa kwenye safari mfano kwenye bus umevaa zako earphones

Mimi kwa sasa.. nitaamini -israel Mbonyi toka mchana mpaka alfajiri nitausikiliza.
 
Nyimbo ya Dr dre anasema kila ninapoenda nakutana na watu wananijua na nawajua .

Anasema nimeona watu wakifeli ,wakifanikiwa ,wakipotea ,


Message anayokuwa Anataka aifikishe IPO hivi ukiona Mtu anakuja kwa kasi mfano hapa JF anaweka thread juu ya thread bila content muhesabie siku atachoka na kupotea Kama ulivyoona @Mpwayangu n.k

Ukiwa the watcher unakuwa unatazama tu speed za watu , downfall even success bila kushtuka because you know how the game is.
 
Masaa 7 non stop sijui kama inawezekana.
Akili huwa inastuck nikifanya hivyo.

Ila nyimbo nazo weza kuzirudiarudia ni

Niseme nini , Baba Ninakushukuru ya Dr. IPYANA

OMBI langu ya Ambwene

To love you more ya Celine

Lord of Lords by Hillsongs

The wrong Direction.
 
Back
Top Bottom