Wanaombaje wakati ni wafanyakazi wa hiyo bandariNasikia eti kuna tetesi kwamba wafanyikazi wa Bandari wanatakwa kama wana sifa waombe kazi bandarini kwa sifa na elimu ya kazi wa nayoiomba
Wanasema" time will tell the tell"Sasa ni wazi kila mtanzania anaelewa wazi matamko ya kina Mwambukusi,Dr Slaa,Mdude,Chadema na TEC!
Sasa hivi wote tuna nena lugha moja wote tunaongea lugha moja na wote tumeanza kuelewana na sote sasa tumeanza kuwa na utulivu na sote tuna tafakari!
Sote kuanzia wafanyakazi wa bandari na watanzania wote tunaongea lugha moja kabisa na tunaelewana!
Nina hakika kwa mara ya kwanza Chadema na TEC na wakina Mwambukusi wanaweza ombwa msamaha hata kimoyo moyo!
Ashukuriwe Mungu ambaye aliumba neno “wakati” “muda” tuliona ni mbali sana lakini hatimaye sote tuna nena lugha moja!
Wanasema nyakati zitatupa mambo mengi tuvumilie na sasa zimeanza kuzaa matunda!
View attachment 2943291
Pesa mlipeleka wapi mlizopewa na Tajiri?Sasa ni wazi kila mtanzania anaelewa wazi matamko ya kina Mwambukusi,Dr Slaa,Mdude,Chadema na TEC!
Sasa hivi wote tuna nena lugha moja wote tunaongea lugha moja na wote tumeanza kuelewana na sote sasa tumeanza kuwa na utulivu na sote tuna tafakari!
Sote kuanzia wafanyakazi wa bandari na watanzania wote tunaongea lugha moja kabisa na tunaelewana!
Nina hakika kwa mara ya kwanza Chadema na TEC na wakina Mwambukusi wanaweza ombwa msamaha hata kimoyo moyo!
Ashukuriwe Mungu ambaye aliumba neno “wakati” “muda” tuliona ni mbali sana lakini hatimaye sote tuna nena lugha moja!
Wanasema nyakati zitatupa mambo mengi tuvumilie na sasa zimeanza kuzaa matunda!
View attachment 2943291
Sawa sawa tutaelewana tu.Sasa ni wazi kila mtanzania anaelewa wazi matamko ya kina Mwambukusi,Dr Slaa,Mdude,Chadema na TEC!
Sasa hivi wote tuna nena lugha moja wote tunaongea lugha moja na wote tumeanza kuelewana na sote sasa tumeanza kuwa na utulivu na sote tuna tafakari!
Sote kuanzia wafanyakazi wa bandari na watanzania wote tunaongea lugha moja kabisa na tunaelewana!
Nina hakika kwa mara ya kwanza Chadema na TEC na wakina Mwambukusi wanaweza ombwa msamaha hata kimoyo moyo!
Ashukuriwe Mungu ambaye aliumba neno “wakati” “muda” tuliona ni mbali sana lakini hatimaye sote tuna nena lugha moja!
Wanasema nyakati zitatupa mambo mengi tuvumilie na sasa zimeanza kuzaa matunda!
View attachment 2943291
Hiyo picha hapo chini sijui kama wanamalindaSasa ni wazi kila mtanzania anaelewa wazi matamko ya kina Mwambukusi,Dr Slaa,Mdude,Chadema na TEC!
Sasa hivi wote tuna nena lugha moja wote tunaongea lugha moja na wote tumeanza kuelewana na sote sasa tumeanza kuwa na utulivu na sote tuna tafakari!
Sote kuanzia wafanyakazi wa bandari na watanzania wote tunaongea lugha moja kabisa na tunaelewana!
Nina hakika kwa mara ya kwanza Chadema na TEC na wakina Mwambukusi wanaweza ombwa msamaha hata kimoyo moyo!
Ashukuriwe Mungu ambaye aliumba neno “wakati” “muda” tuliona ni mbali sana lakini hatimaye sote tuna nena lugha moja!
Wanasema nyakati zitatupa mambo mengi tuvumilie na sasa zimeanza kuzaa matunda!
View attachment 2943291
Kwa hiyo kumbe mamlaka iliyokuwa imewaajiri mwanzo ni wendawazimu kiasi walishindwa kuajiri watu kutokana na taaluma zao?Nasikia eti kuna tetesi kwamba wafanyikazi wa Bandari wanatakwa kama wana sifa waombe kazi bandarini kwa sifa na elimu ya kazi wa nayoiomba
Pesa mlipeleka wapi mlizopewa na Tajiri?
View: https://www.instagram.com/p/C45V-dxKZJP/?igsh=MXg3b3QwcGp5YW94Yw==
Jibu swali,hela za michango za Sabodo ziko wapi?Papai la Dodoma limefura
NyegeremjaneJibu swali,hela za michango za Sabodo ziko wapi?
Wale nyumbu wenu wanaandamanaga ni lini tena mtaenda?Nyegeremjane