Mnama
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 3,239
- 3,197
Sawa mlokoleAliesema usizini ni muumba wetu use mpagan muislam mkristo lkn kutokans na kibur cha uzima Leo tunajisifu na kupongeza kwa kulala na watu zaid ya mmoja ,tambuen sio sifa utasifiwa na wasio na hofu ya mungu mweny hofu atahuzunika,mpango WA mungu sio huu kuonja kila mwanaume au mke mpango WA mungu in MTU awe na msaidiz wake na sio wasaidiz ndo mana hata heshima ya ndoa imekufa sababu ya maasi yetu tukizan in sifa kumbe ujinga
RubiiiOne hundred and a half
Nusu IPI sasa kuwa muwaziMm watatu ña nusu mpaka sasa,

We kwan jinsi ulivyoandika inaonesha mkuu ww ni mkweli kabisaBinafsi nimewakumbuka 24 na nina uhakika wengine nimewasahau hasa wale wa papo kwa papo. Nasubiri tu hukumu
Mpenz wa MUNGU!!Msema kweli ni mpenzi wa Mungu,
Hebu tufunguke leo, na Mungu akusaidie hapo ulipo
Tangu umebalehe/kunja ungo, umewahi kuwa na mahusiano na watu wangapi,
+
na zile shortcut yaan mmekutana tu mkatamaniana mkapeana mzigo, na kila MTU akaendelea na mishe zake
Na vipi, umetosheka? Au bado wategemea kuongeza idadi?
Msema kweli mpenzi wa Mungu
Kuwa mkweli hapa, utazidi kuwa kipenzi cha Mungu.
Ni wangapi umewahi kuwa kalia uchi mpaka hapo ulipo
Karibuni
Siyo lazima kuanzisha topiki. Ni bora kujinyamaziaMsema kweli ni mpenzi wa Mungu,
Hebu tufunguke leo, na Mungu akusaidie hapo ulipo
Tangu umebalehe/kunja ungo, umewahi kuwa na mahusiano na watu wangapi,
+
na zile shortcut yaan mmekutana tu mkatamaniana mkapeana mzigo, na kila MTU akaendelea na mishe zake
Na vipi, umetosheka? Au bado wategemea kuongeza idadi?
Msema kweli mpenzi wa Mungu
Kuwa mkweli hapa, utazidi kuwa kipenzi cha Mungu.
Ni wangapi umewahi kuwa kalia uchi mpaka hapo ulipo
Karibuni
Mimi umenikumbuka katika orodha yako?One hundred and a half
Mh boss kwa heri,,,,wewe tayari2017 Jana ucku nimepga wa 18 na leo anakuja mwingine so kwa mwaka Jana sikumbuki maana pesa ipo wanakuja wenyewe kazi yangu. Mimi ni kujiweka fiti kwa kusugua vizizi ,na katika records zangu Mara ya mwisho kutumia mpira ni 2008
Tayari ya nn mi nko fitiMh boss kwa heri,,,,wewe tayari