Ni waume/wanawake wangapi umewahi kutembea nao?

Ni waume/wanawake wangapi umewahi kutembea nao?

Nashukuru Mungu hawajazid 1193,,, toka nilivyoanza na hauc gal Halima kwenye banda la kuku mwaka 1990 mpka nlipooa 2012
 
Kuna dada mmoja alikuwa rafiki yangu wa karibu sana chuo UDSM na yeye pia alikuwa na rafiki yake wa kike...One day akaniambia " unajua inabidi uwe makini na hawa madem wa chuo...Huyu rafiki yangu semester hiz mbili katembea na wanaume 7. LMAO.
Kuwa makini na huyo dada maana ndege wafananao huruka pamoja
 
Nina hamu na kitumbua asubuhi hii, plse tukutane makutano junction(PM) no one kama naweza ku-upgrade list yangu iko chini mno.
NANGULIA.
Sasa je!!! Ulivyokua unajibaraguza!!! Kama una muwa wa dhahabu!!! Nakusubiri PM
 
Mi nafikiri nimejaza basi kama za new force kumi,ukihesabia seat ya dereva yaani level seat
 
Bado sijafunga mahesabu ya mwezi huu mkuu! Naomba usifute huu uzi,mwisho wa mwezi ntakuletea Idadi kamili......
 
Ivi wanaume hizo namba sijui 100, 164... Hakuna madhara ya kutumia hovyo dudu?
Kuna movie nilionaga mkaka alikuja pata tabu sana kupata mtoto alipooa na alivyoenda hospitali wakamwambia ametumia sperms zote!!!! Yaani alizaliwa mzima ila alikua player sana, adi akazimaliza!!! Inawezekana kweli?
Kingine nilisikia unavyo gegeda zaidi ndo unakua na dudu kubwa zaidi kama ya Bigmind
 
Nimekulimbwataaa
Hapa nahisi nimepewa kitu wahaya wanaita N'KULATA/SHUNTAMA(nifuate/tulia) ukilishwa hii kitu kwisha habari utakuwa ni kufuata na kumsikiliza mkeo huwezi ata chepuka..!

Please nisije nikaonja ndiyo nikasa moja kwa mbili.
 
Hapa nahisi nimepewa kitu wahaya wanaita N'KULATA/SHUNTAMA(nifuate/tulia) ukilishwa hii kitu kwisha habari utakuwa ni kufuata na kumsikiliza mkeo huwezi ata chepuka..!

Please nisije nikaonja ndiyo nikasa moja kwa mbili
e65d69581186b863a23da58054d8e3f9.jpg
Ata sihitaji yote hayooo!!! Ukija hutoki mwenyewe tuu!
 
Ivi wanaume hizo namba sijui 100, 164... Hakuna madhara ya kutumia hovyo dudu?
Kuna movie nilionaga mkaka alikuja pata tabu sana kupata mtoto alipooa na alivyoenda hospitali wakamwambia ametumia sperms zote!!!! Yaani alizaliwa mzima ila alikua player sana, adi akazimaliza!!! Inawezekana kweli?
Kingine nilisikia unavyo gegeda zaidi ndo unakua na dudu kubwa zaidi kama ya Bigmind
Hii promo unayonipa utaniletea matatizo PM huko...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom