Ni waume/wanawake wangapi umewahi kutembea nao?

Ni waume/wanawake wangapi umewahi kutembea nao?

Daah sijui nami ntaanza lini ili njibu swali walau ata mmoja tu ila ngoja nmtunzie mke wangu
 
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza na usijilazimishe kuniamini but nasema najihifadhi kwa atakaejaaliwa kuolewa nami mkuu kazi angu tu inaniweka bize na imechangia kujihifadhi
 
Nimetembea nao wengi tu tena hadharani huku tumeshikana mikono au tunapiga stori kiroho safi kabisa.
Anayesema hajawahi kutembea na msichana ni mwongo mkubwa.
Hapo sasa hilo swali ungekua umeulizwa kwenye kipindi chochote kinachorushwa na redio au televisheni,ukajibu hivyo,hakyanani watu wangekudharau sana,ila hatujui umri wako yawezekana wewe ni mtoto unachezea simu ya baba au mama.Sijui hata IQ yako ni ngapi mkuu,umeshindwa kuelewa maana ya kutembea kulingana na context.
 
Wanawake wanafika 430+...

Ilikua nikitia "ke" mwenye jina Khadija.. Popote nikikuta "ke" mwingine anaitwa Khadija pia lazima nimtie.

Nikikuta una weusi flani "Black beauty" lazima nikutomb3

Nikikuta una tako flani hivi... Lazima nipite na wewe.

Enzi Niko shule.. "ke" yoyote anayejifanya yuko smart kwa head ilikua lazima nimtie.. yoyote anayekuja kuomba msaada wa masomo lazima nimlale..

"Ke" yeyote aliyenizidi umri akijileta tu lazima nimvue chupi... Hii imeniteka hadi kesho napenda sana "ke" aliyenizidi hata kwa miezi tu.


Ila katika hao wote... Sijawahi nunua Malaya, wala kwenda kiwanja afu kurudi na "ke" mpya ghetto.
 
Hapo sasa hilo swali ungekua umeulizwa kwenye kipindi chochote kinachorushwa na redio au televisheni,ukajibu hivyo,hakyanani watu wangekudharau sana,ila hatujui umri wako yawezekana wewe ni mtoto unachezea simu ya baba au mama.Sijui hata IQ yako ni ngapi mkuu,umeshindwa kuelewa maana ya kutembea kulingana na context.
Asante mkuu, ila hapa sipo kwenye mazingira uliyoyataja.
Nachezea simu ya bibi yangu hapa, toleo la hivi karibuni.
IQ yangu ni ile ya chini kabisa unayoifahamu wewe.
Nashukuru kwa mawazo yako.
 
Asante mkuu, ila hapa sipo kwenye mazingira uliyoyataja.
Nachezea simu ya bibi yangu hapa, toleo la hivi karibuni.
IQ yangu ni ile ya chini kabisa unayoifahamu wewe.
Nashukuru kwa mawazo yako.
Asante kwakulitambua hjlo.
 
Kuna siku nilikaa nika list na kuhesabu Kama 60 hivi ila wale Wa kurudia rudia ni kama 20 hivi na walio active ni Kama 6 anytime nikitaka japo wawili hadi uwape taarifa kwanza mmoja siku mbili na mwingine siku moja kabla huwa wananiudhi sana. Sema uzuri wao uchoke mwenyewe...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom