Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,157
- 2,663
- Thread starter
- #41
changamoto kubwa inayowakumba wengi ni pale kwa wanaoanza kujifunza hasa hutokea anapokuwa kajua kurusha ngumi, teke na blocks, basi hujiona kama hakuna MBABE tena zaidi yake!! kingine changamoto za UVUMILIVU, unaweza kwenda wiki nzima unafundishwa teke moja, wakati anajua atafundishwa kama Jackie Chan, Wiki Tu Ameiva!! Wengi huacha kwa kuona kama anapoteza muda, Kumbe wanakosa uvumilivu!!
Kwa hali hii...changamoto pekee ni kujiandaa kisaikolojia kwamba unaenda kujifunza kitu kwa kipindi kinachotakiwa na mazingira ya huku kwetu kwa maana ya muda na nafasi!!!