GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Leo ni siku ya nne nikiwa hapa Kakonko mkoani Kigoma. Leo Jioni nimepita sokoni nikakuta matunda, hasa ndizi na parachichi, ni bei nafuu sana.
Parachichi 2 sh 500/= na ndizi 6 mbivu nimeuziwa shilingi mia tano.
Nilikotoka, ndizi 1 huuzwa sh 200/= , na parachichi 1 huuzwa kuanzia 500/= hadi 1,000/=.
Hii haiwezi kuwa fursa ya kibiashara? Sijajua hasa wanakotolea matunda husika, lakini, nashawishika kuamini kuwa ni humu humu Kakonko.
Kwingineko matunda mnauziwa bei gani? Wajasiriamali, angalieni kama hiyo inaweza ikawa ni fursa au la! Nawasilisha.
Parachichi 2 sh 500/= na ndizi 6 mbivu nimeuziwa shilingi mia tano.
Nilikotoka, ndizi 1 huuzwa sh 200/= , na parachichi 1 huuzwa kuanzia 500/= hadi 1,000/=.
Hii haiwezi kuwa fursa ya kibiashara? Sijajua hasa wanakotolea matunda husika, lakini, nashawishika kuamini kuwa ni humu humu Kakonko.
Kwingineko matunda mnauziwa bei gani? Wajasiriamali, angalieni kama hiyo inaweza ikawa ni fursa au la! Nawasilisha.