Preta huyo jamaa alikuwa anakata huo mti mara simba akatokea, akaona apande mtini. Hii ni fundisho unapofanya jambo lolote unatakiwa ufanye kitu kinachoitwa @Risk @Assessmentdah.....kwa nini jamaa akumbwe na hatari namna hiyo....hapo na mti unakatika taratibu.......
du! mwambie jamaa asiogope hiyo ni ndoto tu!
Sasa si aamke fasta?