Ni wangapi wanakumbuka jina la huyu dogo?

Umekosea mkuu
Jina lake anaitwa Omar Albashiri, kipindi kile alikua anawabeba kuku kichwa chini miguu juu, sasa hivi ni zamu yake yeye kubebwa eti anajidai ahurumiwe.
Ninasikia uchaguzi wake kila mwaka alitangazwa mshindi kwa kunyonga.
 
Umekosea mkuu
Jina lake anaitwa Omar Albashiri, kipindi kile alikua anawabeba kuku kichwa chini miguu juu, sasa hivi ni zamu yake yeye kubebwa eti anajidai ahurumiwe.
dollars zake
 
Kibanga ampiga mkoroni....hiki nimekikuta hm walikisoma wakubwa zangu ila hii hadithi nikikuwa naipenda sana
 
Jamani Elimu ya kibongo bwana ndo maana mtu anamaliza chuo analialia kuajiliwa. Sasa vitabu tulivyosoma vya adithi zisizokuwa na mashiko za kusadikika tungefundisha vitu halisia vyenye maalifa ya ufugaji, kilimo, technolojia, ufundi, n.k angalau ukimaliza darasa LA saba, form 4, form 6, vyuo, mtu ungekuwa na kitu kichwani cha kukusaidia badala ya kulandalanda kutafuta kazi au kudanga na mengine kama hayo!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…