Huyo anaitwa Pazi..pazi ilikuwa kila jioni anatumwa na wazazi wake kwenda kuwafungulia kuku na pindi akienda bandani Pazi alikuwa na tabia ya kuwapiga sana hao kuku,mmoja anaitwa nihurumie na mmoja anaitwa naumia.Siku moja ndo hao kuku walimfungia kazi huyo pazi walimpiga na kumning'iniza kichwa chini na miguu juu.Toka siku hiyo Pazi hakurudia tena kupiga hao Kuku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.