ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 397
- 1,394
Duniani kila jina lina maana. Hakuna jina lisilokuwa maana. Hata wewe jina lako lina maana yake, baya au Zuri
Kwa mfano, Adam maana yake ni udongo mwekundu
Hawa maana yake ni mama wa wanadamu wote
Malaika maana yake ni mjumbe wa Mungu.
Isaac maana yake ni kicheko.
Hata wewe jina lako lina maana yake
Kwa mifano michache hiyo, tunaweza pia kuona jina Israel
Jina Israel maana yake ni "mshindi" Yaani yeye ashindaye.
Majina ya watu au vitu ni kivuli cha uhalisia wa mtu au kitu
Sasa wa Israel kama taifa, wamelipa jina hilo taifa Lao. Hilo jina ni kivuli cha uhalisia wa hilo taifa. Jina hilo linatoa taswira ya uwezo wa hilo taifa.
Ukiangalia kwa juujuu aubkiushabiki unaweza usielewe hiki kitu lakini kama unaingia ndani kabisa unaweza kuelewa.
Kwanini taifa dogo kama Israel lina uwezo wa kushawishi mataifa
Makubwa kama India, USA, UK, Germany, Australia, Canada, France na wote wakaitikia. Jamaa wana kitu cha ziada. Jamaa wana uwezo wa ziada. Sio rahisi kama tunavyofikiri
Israel ni washindi. Waarabu wamegunduwa hilo Jambo ndiyo maana siku hizi hawahangaiki
Kwa mfano, Adam maana yake ni udongo mwekundu
Hawa maana yake ni mama wa wanadamu wote
Malaika maana yake ni mjumbe wa Mungu.
Isaac maana yake ni kicheko.
Hata wewe jina lako lina maana yake
Kwa mifano michache hiyo, tunaweza pia kuona jina Israel
Jina Israel maana yake ni "mshindi" Yaani yeye ashindaye.
Majina ya watu au vitu ni kivuli cha uhalisia wa mtu au kitu
Sasa wa Israel kama taifa, wamelipa jina hilo taifa Lao. Hilo jina ni kivuli cha uhalisia wa hilo taifa. Jina hilo linatoa taswira ya uwezo wa hilo taifa.
Ukiangalia kwa juujuu aubkiushabiki unaweza usielewe hiki kitu lakini kama unaingia ndani kabisa unaweza kuelewa.
Kwanini taifa dogo kama Israel lina uwezo wa kushawishi mataifa
Makubwa kama India, USA, UK, Germany, Australia, Canada, France na wote wakaitikia. Jamaa wana kitu cha ziada. Jamaa wana uwezo wa ziada. Sio rahisi kama tunavyofikiri
Israel ni washindi. Waarabu wamegunduwa hilo Jambo ndiyo maana siku hizi hawahangaiki