escapee
Senior Member
- Feb 1, 2020
- 133
- 210
Tanzania Intelligence and Security Service ni idara iliyo kama roho ya Taifa. Ikitokea Taasisi ikapwaya basi ni dhahiri taifa halitakua salama kisiasa, kiuchumi na Kibiashara.
SIASA
Ikiwa TISS itakosa weledi na upambanuzi wa namna siasa zinavyo paswa kuendeshwa, kulingana na dira ya uelekeo wa taiafa, ni lazima nchi ididimie. Kutakuwa na siasa zisizo na dira ya pamoja, ikiwa ni pamoja na vitendo vya rushwa na makundi makundi yenye visasi.
BIASHARA
Hii huambatana na njia zote za uzalishaji mali kama kilimo,ufugaji,uchimbaji madini, usafirishaji, utalii nk.
Hivyo kama TISS hawataweza kusimamia vema na kudhibit mamlaka zote zilizopo kwenye taasisi za uzalishaji mali, Taifa halitakuwa salama.
UCHUMI
Udhaifu wa idara ya usalama katika uchumi hupelekea nchi kuwa na uchumi hovyo.Siasa zisizo na dira hulifanya taifa kuwa na taasisi mbovu mbovu zinazo husika na kukuza uchumi.
Katika hayo yote unatambua kwamba Tiss inawajibika katika kila jambo ndani ya Taifa, iwe elimu, afya, majanga, siasa, ulinzi na mengine mengi. Na hayo yote yanawezekana kukiwa na siasa safi.
Hivyo sasa ni wakati wa TISS kubadirika kukitawala chama kilichopo madarakani, kwa kulinda misingi imara ya chama na ufwatwaji wa katiba ya Jamhuri. Na siyo wanachama wa ngazi za juu kuwa na nguvu dhidi ya taratibu za kikatiba.
MAGUFULI
Ni mwanaume miongoni mwa wanaume walio lipigania taifa hili. Kipindi cha nyuma ilikuwa mwenye madaraka anasujudiwa, kumuona DC, DED, OCD, DSO ilikuwa issue. Lakini sasa tuna share nao vingi hata mtaani angalau wanatafuta kiki.
Ameweka nidhamu na woga kwa watumishi na viongozi mbalimbali kwenye nyadhifa tofauti. Ni muda sasa TISS kuanza kuyajengea mfumo imara wenye watu wanaodhibitika katika uendeshwaji wa Taifa.
TISS iwe nauwezo wa kuwatengeneza kina Magufuli wengi wanaoweza kudhibitiwa na mfumo imara anao tuatara, huku yeye akiutumia mfumo huo kuongoza Taifa.
NB.
TISS msaidieni Magufuli kutengeneza mifumo imara inayo lisimika Taifa. Mifumo hiyo iwe na nguvu katika utekelezaji wa majukumu kwa mujibu wa sheria.
Magufuli aiogope TISS, na TISS imwogope Magufuli endapo yoyote kati yao hatafanya ufanisi kwa misingi ya kikatiba.
Magu ameonesha njia wengine jengeni misingi,kwani kazi aliyo ifanya huyu Mzarendo ni kubwa, jamaa anaweza.
Hapa nipo sehemu inaitwa Malampaka, Simiyu. Nina gari binafsi Kulga V nimetoka Dodoma naeelekea Sirari, aiseee natembeaaaaa. Speed 100-130. Jamaa MAGU kajenga barabara mpaka Bariadi.
MAGU THE MAN
SIASA
Ikiwa TISS itakosa weledi na upambanuzi wa namna siasa zinavyo paswa kuendeshwa, kulingana na dira ya uelekeo wa taiafa, ni lazima nchi ididimie. Kutakuwa na siasa zisizo na dira ya pamoja, ikiwa ni pamoja na vitendo vya rushwa na makundi makundi yenye visasi.
BIASHARA
Hii huambatana na njia zote za uzalishaji mali kama kilimo,ufugaji,uchimbaji madini, usafirishaji, utalii nk.
Hivyo kama TISS hawataweza kusimamia vema na kudhibit mamlaka zote zilizopo kwenye taasisi za uzalishaji mali, Taifa halitakuwa salama.
UCHUMI
Udhaifu wa idara ya usalama katika uchumi hupelekea nchi kuwa na uchumi hovyo.Siasa zisizo na dira hulifanya taifa kuwa na taasisi mbovu mbovu zinazo husika na kukuza uchumi.
Katika hayo yote unatambua kwamba Tiss inawajibika katika kila jambo ndani ya Taifa, iwe elimu, afya, majanga, siasa, ulinzi na mengine mengi. Na hayo yote yanawezekana kukiwa na siasa safi.
Hivyo sasa ni wakati wa TISS kubadirika kukitawala chama kilichopo madarakani, kwa kulinda misingi imara ya chama na ufwatwaji wa katiba ya Jamhuri. Na siyo wanachama wa ngazi za juu kuwa na nguvu dhidi ya taratibu za kikatiba.
MAGUFULI
Ni mwanaume miongoni mwa wanaume walio lipigania taifa hili. Kipindi cha nyuma ilikuwa mwenye madaraka anasujudiwa, kumuona DC, DED, OCD, DSO ilikuwa issue. Lakini sasa tuna share nao vingi hata mtaani angalau wanatafuta kiki.
Ameweka nidhamu na woga kwa watumishi na viongozi mbalimbali kwenye nyadhifa tofauti. Ni muda sasa TISS kuanza kuyajengea mfumo imara wenye watu wanaodhibitika katika uendeshwaji wa Taifa.
TISS iwe nauwezo wa kuwatengeneza kina Magufuli wengi wanaoweza kudhibitiwa na mfumo imara anao tuatara, huku yeye akiutumia mfumo huo kuongoza Taifa.
NB.
TISS msaidieni Magufuli kutengeneza mifumo imara inayo lisimika Taifa. Mifumo hiyo iwe na nguvu katika utekelezaji wa majukumu kwa mujibu wa sheria.
Magufuli aiogope TISS, na TISS imwogope Magufuli endapo yoyote kati yao hatafanya ufanisi kwa misingi ya kikatiba.
Magu ameonesha njia wengine jengeni misingi,kwani kazi aliyo ifanya huyu Mzarendo ni kubwa, jamaa anaweza.
Hapa nipo sehemu inaitwa Malampaka, Simiyu. Nina gari binafsi Kulga V nimetoka Dodoma naeelekea Sirari, aiseee natembeaaaaa. Speed 100-130. Jamaa MAGU kajenga barabara mpaka Bariadi.
MAGU THE MAN