The Whistleblower
Senior Member
- Dec 9, 2022
- 137
- 224
Hii Taasisi ilikuwa imara sana enzi za mwalimu Nyerere na mwisho kabisa kwa Mkapa,baada ya hapo imekuwa Taasisi ya kisiasa.
Inafanya kazi kwa maslahi ya wanasiasa na siyo Taifa na ndiyo sababu hali ya maisha ya watu inazidi kuwa mgumu kila siku iitwayo leo.
Kazi kubwa ya TISS ni kulinda usalama wa nchi kiuchumi na mipaka yake, hii Taasisi inayohitaji watu wanaoipenda nchi yao kwa Dhati, yaani Wazalendo kweli kweli na siyo makada wa UVCCM.
Siku hizi mtu akiwa kada mwaminifu wa Chama anapewa kazi TISS.
Ndo maana yameibuka magenge mengi mno yanayohujumu Uchumi wa Tanzania kuanzia mitandaoni hadi mitaani.
TISS ivunjwe, iundwe upya.
Inafanya kazi kwa maslahi ya wanasiasa na siyo Taifa na ndiyo sababu hali ya maisha ya watu inazidi kuwa mgumu kila siku iitwayo leo.
Kazi kubwa ya TISS ni kulinda usalama wa nchi kiuchumi na mipaka yake, hii Taasisi inayohitaji watu wanaoipenda nchi yao kwa Dhati, yaani Wazalendo kweli kweli na siyo makada wa UVCCM.
Siku hizi mtu akiwa kada mwaminifu wa Chama anapewa kazi TISS.
Ndo maana yameibuka magenge mengi mno yanayohujumu Uchumi wa Tanzania kuanzia mitandaoni hadi mitaani.
TISS ivunjwe, iundwe upya.