Ni wakati wa Serikali kupandisha mishahara ya watumishi wa umma, hakuna kisingizio cha kutopandisha, uzalishaji umeongezeka

Hizo pesa mnazopiga huko TUCTA mjue zina malipo yake hata kama sio leo ila mjue mtazeeka na kufa vifo vibaya. Karma lazima iwaandame.

Hivi hapo TUCTA mmeshindwa hata kuishitaki serikali hata kama mtashindwa kesi mahakamani basi watumishi wataamini kwamba mnapambana. Mnaona ni hasara sana kuwalipa wanasheria sio.

Hovyo kabisa. Endeleeni kugombania madaraka na kujilipa mishahara minono na malupukupu ya kutosha mkidhani nyie ni wajanja sana.
Mkuu punguza jazba, ndo maana nasema hivi viongozi waliyopo ni tatizo kubwa sana, so suluhisho pekee subiri niingie hapo TUCTA wafanyakazi mtafurahi tu
 
Utakaa na ujinga mpaka lini? Uliza Ofisi ya Taifa ya Takwimu au hata economist yeyote akusaidie. Mfumko wa bei ukipanda, lazima mshahara upande ili mpokea mshahara apate uwezo wa kununua bidhaa. Hii nitakupinga hata kwa Pilato maana wewe kipande hiki unaonekana mbumbumbu
Uzuri wake serikali yetu makini imedhibiti sana mfumuko wa bei na mahitaji yote muhimu yameshuka sana mpaka sasa Watanzania tunajivunia jinsi huyu Rais wetu mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake alivyo fanya kazi ya kututumikia kuhakikisha maisha yanakua rahisi sana
Tatizo lipo kwa wapiga dili Yaani lazima waumie tu maana mianya imeziba kabisa
 
Wanabodi hili ni bandiko la kuelezana ukweli,na kama viongozi wetu ni wakweli basi hakuna haja za kusubiri mpaka mei mosi ifike ili mishahara ya watumishi wa umma iongezwe.

Mwaka 2017 kwenye mkutano mkuu wa 33 wa ALAT jijini Dar es salaam rais JPM alisema hawezi kuongeza mishahara ya watumishi wa umma sababu uzalishaji ulikuwa chini na hivyo serikali ilikuwa bado na mzigo mkubwa kuwahudumia wananchi.

Rais JPM alisisitiza kuwa wananchi wanatakiwa wahimizwe kulipa kodi na kufanya shughuli za uzalishaji ili pato la taifa liongezeke.

Hivi sasa TRA wanakusanya Tril 2 kwa mwezi ongezeko ambalo ni kama 50% ya kusanyo la bil 800 walizokuwa wanakusanya wakati wa awamu ya nne. Hivyo ni dhahiri kuwa sasa uzalishaji umeongezeka kama alivyotaka Rais JPM. Na kwa mantiki hii serikali inaouwezo wa kuongeza mishahara huku ikiwahudumia wananchi vizuri tu bila shida.

Ni aibu kubwa kwa taifa ambalo limeingia uchumi wa kati,huku mfumuko wa bei upo juu na kuna Mtanzania analipwa sh 390000 kama basic pay. Akikatwa kodi anabaki na sh 360000. Hapo mtu utaweza kuishi kwa raha?

My take; TUCTA na vyama vya upinzani viibane serikali ili iwakumbuke kupandisha mishahara watumishi wanaohangaika kwa kipato kidogo huku kila siku wanasota kuwatumikia wananchi.
Hivi watu mnadai mpandishiwe mshahara kwa kazi gani hasa mnayoifanya huko maofisini zaidi ya kukaa siku nzima mkiwapiga vijembe wananchi ambao kimsingi ndio wateja wenu?, Hebu tajeni angalau wizara moja tu,🤔..ambayo watumishi wake wako makini kwenye kazi zao na kuna ufanisi?.....Hamna kitu!!,:oops:
 
Wanabodi hili ni bandiko la kuelezana ukweli,na kama viongozi wetu ni wakweli basi hakuna haja za kusubiri mpaka mei mosi ifike ili mishahara ya watumishi wa umma iongezwe.

Mwaka 2017 kwenye mkutano mkuu wa 33 wa ALAT jijini Dar es salaam rais JPM alisema hawezi kuongeza mishahara ya watumishi wa umma sababu uzalishaji ulikuwa chini na hivyo serikali ilikuwa bado na mzigo mkubwa kuwahudumia wananchi.

Rais JPM alisisitiza kuwa wananchi wanatakiwa wahimizwe kulipa kodi na kufanya shughuli za uzalishaji ili pato la taifa liongezeke.

Hivi sasa TRA wanakusanya Tril 2 kwa mwezi ongezeko ambalo ni kama 50% ya kusanyo la bil 800 walizokuwa wanakusanya wakati wa awamu ya nne. Hivyo ni dhahiri kuwa sasa uzalishaji umeongezeka kama alivyotaka Rais JPM. Na kwa mantiki hii serikali inaouwezo wa kuongeza mishahara huku ikiwahudumia wananchi vizuri tu bila shida.

Ni aibu kubwa kwa taifa ambalo limeingia uchumi wa kati,huku mfumuko wa bei upo juu na kuna Mtanzania analipwa sh 390000 kama basic pay. Akikatwa kodi anabaki na sh 360000. Hapo mtu utaweza kuishi kwa raha?

My take; TUCTA na vyama vya upinzani viibane serikali ili iwakumbuke kupandisha mishahara watumishi wanaohangaika kwa kipato kidogo huku kila siku wanasota kuwatumikia wananchi.

Nimepewa taarifa kwamba serikali ina mpango wa kuwakata 10% wafanyakazi wote wa serikali kwa ajili ya kuchangia maendeleo.
 
Uzuri wake serikali yetu makini imedhibiti sana mfumuko wa bei na mahitaji yote muhimu yameshuka sana mpaka sasa Watanzania tunajivunia jinsi huyu Rais wetu mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake alivyo fanya kazi ya kututumikia kuhakikisha maisha yanakua rahisi sana
Tatizo lipo kwa wapiga dili Yaani lazima waumie tu maana mianya imeziba kabisa
Inauma kuona mtu hajui kitu, unamjulisha lakini anabisha na kukuita majina ya ajabu. Utapandishaje mshahara wakati mfumko wa bei upo chini? Hivi wanadhani mshahara ni kwa ajili ya nini? Angalia hata dollar bado haijafika 2400. Je wanataka iwe Sawa na wakati wa JK? Wapuuzi hao
 
Inauma kuona mtu hajui kitu, unamjulisha lakini anabisha na kukuita majina ya ajabu. Utapandishaje mshahara wakati mfumko wa bei upo chini? Hivi wanadhani mshahara ni kwa ajili ya nini? Angalia hata dollar bado haijafika 2400. Je wanataka iwe Sawa na wakati wa JK? Wapuuzi hao
Unatumia njia gani ya mlingano wa kiuchumi kupitia dollar? Inflation haitafsiri dollar ikishuka au ikipanda, waza Tena.
 
Duh! kudai nyongeza ya mishahara napo kunahitaji ujuzi?

Mfumuko wa bei sio kigezo? Upumbavu ni kipaji kama ulivyozaliwa nacho.
Mfumuko wa Bei ndio kigezo namba1.
Lengo la kupandisha mishahara ni kuendana na Hali ya upatikanaji wa bidhaa kwakuwa kazi ya mishahara ni kijikimu mahitaji muhimu matatu.
Mahitaji hayo yakipanda lazima mishahara ipande pia.
 
Hivi watu mnadai mpandishiwe mshahara kwa kazi gani hasa mnayoifanya huko maofisini zaidi ya kukaa siku nzima mkiwapiga vijembe wananchi ambao kimsingi ndio wateja wenu?, Hebu tajeni angalau wizara moja tu,..ambayo watumishi wake wako makini kwenye kazi zao na kuna ufanisi?.....Hamna kitu!!,:oops:
Nenda Somalia halafu uulize Tena maswali yako.
 
Hivi watu mnadai mpandishiwe mshahara kwa kazi gani hasa mnayoifanya huko maofisini zaidi ya kukaa siku nzima mkiwapiga vijembe wananchi ambao kimsingi ndio wateja wenu?, Hebu tajeni angalau wizara moja tu,🤔..ambayo watumishi wake wako makini kwenye kazi zao na kuna ufanisi?.....Hamna kitu!!,:oops:
Ukisikia serikali ya awamu ya 5 imetekeleza ujue wavuja jasho ni watumishi wake katika sekta zote walitekeleza majukumu yao.Ulitaka watumishi washushe mbingu/ahera ndipo utambue mchango wao katika kuifikisha Tanzania kuingia uchumi huu wa kati chini?
Hayati Magufuli hakuwa Mungu useme alitenda miujiza ya kunena jambo litokee na likatokea kama enzi za uumbaji(Kama una amini kuwa ulifanyika).
 
Wanabodi hili ni bandiko la kuelezana ukweli,na kama viongozi wetu ni wakweli basi hakuna haja za kusubiri mpaka mei mosi ifike ili mishahara ya watumishi wa umma iongezwe.

Mwaka 2017 kwenye mkutano mkuu wa 33 wa ALAT jijini Dar es salaam rais JPM alisema hawezi kuongeza mishahara ya watumishi wa umma sababu uzalishaji ulikuwa chini na hivyo serikali ilikuwa bado na mzigo mkubwa kuwahudumia wananchi.

Rais JPM alisisitiza kuwa wananchi wanatakiwa wahimizwe kulipa kodi na kufanya shughuli za uzalishaji ili pato la taifa liongezeke.

Hivi sasa TRA wanakusanya Tril 2 kwa mwezi ongezeko ambalo ni kama 50% ya kusanyo la bil 800 walizokuwa wanakusanya wakati wa awamu ya nne. Hivyo ni dhahiri kuwa sasa uzalishaji umeongezeka kama alivyotaka Rais JPM. Na kwa mantiki hii serikali inaouwezo wa kuongeza mishahara huku ikiwahudumia wananchi vizuri tu bila shida.

Ni aibu kubwa kwa taifa ambalo limeingia uchumi wa kati,huku mfumuko wa bei upo juu na kuna Mtanzania analipwa sh 390000 kama basic pay. Akikatwa kodi anabaki na sh 360000. Hapo mtu utaweza kuishi kwa raha?

My take; TUCTA na vyama vya upinzani viibane serikali ili iwakumbuke kupandisha mishahara watumishi wanaohangaika kwa kipato kidogo huku kila siku wanasota kuwatumikia wananchi.
Mimi nadhani serikali iangalie pia uwezekano wa kurejesha Bodi ya Mishahara na Maslahi ktk Utumishi wa Umma ilikuwa na umuhimu wake kama checks and balance ya kukumbusha na kushughulukia kitaalam mishahara.
 
Mimi nadhani serikali iangalie pia uwezekano wa kurejesha Bodi ya Mishahara na Maslahi ktk Utumishi wa Umma ilikuwa na umuhimu wake kama checks and balance ya kukumbusha na kushughulukia kitaalam mishahara.
Kwani ilivunjwa?
 
Ukisikia serikali ya awamu ya 5 imetekeleza ujue wavuja jasho ni watumishi wake katika sekta zote walitekeleza majukumu yao.Ulitaka watumishi washushe mbingu/ahera ndipo utambue mchango wao katika kuifikisha Tanzania kuingia uchumi huu wa kati chini?
Hayati Magufuli hakuwa Mungu useme alitenda miujiza ya kunena jambo litokee na likatokea kama enzi za uumbaji(Kama una amini kuwa ulifanyika).
Jibu maswali yangu mawili, acha kuzunguka.
 
Back
Top Bottom