Sasa kwanini asijue au ndio umtege vizuri 🤔🤔🤔✌️
Kama mwanamke mpaka leo umebweteka una msubiria mwanaume akuletee hela pole
Hela za wanaume zina manyanyaso sana pamba upate chako ujivunie usikae kumtegemea mwanaume akupe pesa pleas amkeni
Kuna wanawake mpaka hela ya pedi wanaomba kwa mwanaume ni aibu sana, inatakiwa ata mwanaume asijue siku yako ya hedhi lakini kuna baadhi yetu mnawaambia et kisa mpenzi nitamwambie alie nioa tu lakini sio hawa wa muda mfupi
Ni hilo tu
mila zetuKama mwanamke mpaka leo umebweteka una msubiria mwanaume akuletee hela pole
Sasa wengine tunapenda teleza wakati wa period hivyo demu lazima aseme ili wakati huo tegegedaneSio kumtegea lengo ni kuwa mwanaume atakiwi kuona uchaf wak wala kujua kama ndio unaingia period siku xote skuone uko smart
kama dini tunavyozifuata bila kuhoji some controversial doctrines/issuesZimewapumbaza
Mnaangaika Sana , Tafuta tu Mwanaume uolewe utakufa bure.✌️
Kama mwanamke mpaka leo umebweteka una msubiria mwanaume akuletee hela pole
Hela za wanaume zina manyanyaso sana pamba upate chako ujivunie usikae kumtegemea mwanaume akupe pesa pleas amkeni
Kuna wanawake mpaka hela ya pedi wanaomba kwa mwanaume ni aibu sana, inatakiwa ata mwanaume asijue siku yako ya hedhi lakini kuna baadhi yetu mnawaambia et kisa mpenzi nitamwambie alie nioa tu lakini sio hawa wa muda mfupi
Ni hilo tu