jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,103
- 35,923
Wakuu.
Umefika wakati sasa kuachana ni hili koti la JMT na kuchukua mamlaka kamili ya Tanganyika na kusimama kama serikali inayojitegemea.
Kama Zanzibar walivyolikataa hili koti la Tanzania visiwani kwa katiba yao ya 1984.
Naililia Tanganyika iliyobebeshwa mzigo mkubwa wa misumari na mateso kupitia jina la JMT.
Ni muda wa kusimama Tanganyika.
Rise and Shine Tanganyika..umenyonywa sana.
Mungu ibariki Tanganyika
CCM tunaitaka Tanganyika yetu.
Uzi tayari.
#MaendeleoHayanaChama
Umefika wakati sasa kuachana ni hili koti la JMT na kuchukua mamlaka kamili ya Tanganyika na kusimama kama serikali inayojitegemea.
Kama Zanzibar walivyolikataa hili koti la Tanzania visiwani kwa katiba yao ya 1984.
Naililia Tanganyika iliyobebeshwa mzigo mkubwa wa misumari na mateso kupitia jina la JMT.
Ni muda wa kusimama Tanganyika.
Rise and Shine Tanganyika..umenyonywa sana.
Mungu ibariki Tanganyika
CCM tunaitaka Tanganyika yetu.
Uzi tayari.
#MaendeleoHayanaChama