Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,638
- 697,929
- Thread starter
- #221
Asante sana...ahsante, ni vema kusema kile unaamini ili mradi huzodoi, hubezi, hudharau wengine lakini kutoa mafundisho muhimu halafu kwa vile Mungu katuumba na utashi wa uchaguzi basi kila mtu anachagua ili mradi unapochagua ujue matoke ya mbeleni hapo ndio mtihani! Hata Adam alijua matoke aliishaambiwa lakini yet akala!
Isaya 58:1 Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.